Idris Sultan, na Director of Food and Beverage katika hoteli ya Hyatt, Nicolas Cedro
Hakuna biashara isiyokuwa na faida ,washahili wanakuambia asubuhi biashara jion mahesabu.
“Idris ni maarufu sana na anawatu wengi wanamfuatilia kupitia mtandao wa Instragram, baada ya kuona nazindua viatu vyake tukamuita aje hapa kuzindua na kumefanya maongezi naye. Viatu vya Idris vitapatikana pia katika duka ililopa hapa hotelini kwetu,” amesema Nicolas.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment