Princess Diana amekumbukwa siku ya Jumatano ya wiki hii katika mji wa Kensington Palace alipokuwa akiishi. Princess Diana alizaliwa mwaka 1961 Julai mosi na alifariki 31 Agosti 1977 akiwa na miaka 36. Prince Charles ambaye ni mtoto wa Malikia Elizabeth II ndiyo alikuwa mume wa Diana na walifanikiwa kupata watoto wawili ambao ni Princes William na Harry.
August 31, 2017
10:35 PM
Machaku
No comments
Princess Diana amekumbukwa siku ya Jumatano ya wiki hii katika mji wa Kensington Palace alipokuwa akiishi. Princess Diana alizaliwa mwaka 1961 Julai mosi na alifariki 31 Agosti 1977 akiwa na miaka 36. Prince Charles ambaye ni mtoto wa Malikia Elizabeth II ndiyo alikuwa mume wa Diana na walifanikiwa kupata watoto wawili ambao ni Princes William na Harry.
Related Posts:
Gold Man auawa India Yule mwanamume wa India anaependa kuvalia mrundo wa dhahabu hadi kubandikwa jina The Gold Man ameuawa. Mtu huyo kwa jina Datta Phuge aliwahi kununua shati mojawapo ghali zaidi duniani kwani lilikuwa la dhahabu. Dhababu ya… Read More
Maamuzi ya BASATA kuhus wimbo wa Nay wa Mitego Ni July 16, 2016 ambapo Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limetoa rasmi tamko la kuufungia wimbo wa msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego uitwao PALE KATI. Akizungumza na millardayo.com Katibu mkuu wa Basata,… Read More
Basata wameshindwa kunipa majibu ya msingi – Roma Msanii wa Hip Hop Bongo, Roma amesema kuwa Baraza la Sanaa la Taifa, Basata limeshindwa kumpatia majibu ya msingi juu ya sababu ya kufungiwa kwa nyimbo yake ya ‘Viva Roma … Read More
Fiesta 2016, Paul Makonda atoa baraka zake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Saalam Paul Makonda amefika katika ofisi za Mwenyekiti wa Msimu Fiesta 2016, Sebastian Maganga kutoa baraka zake katika kuelekea katika msimu huu mkubwa na wa Kipekee katika maisha na bur… Read More
Nay wa Mitego ahojiwa na polisi kwa masaa, aachiwa kwa dhamana Msanii wa muziki wa Hip Hop, Ney wa Mitego amehojiwa kituo cha Polisi Kati na kupewa dhamana kufuatia tuhuma zinazomkabili. Kamanda wa Kanda ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema msanii huyo alihojiwa juzi kituoni hapo n… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment