Princess Diana amekumbukwa siku ya Jumatano ya wiki hii katika mji wa Kensington Palace alipokuwa akiishi. Princess Diana alizaliwa mwaka 1961 Julai mosi na alifariki 31 Agosti 1977 akiwa na miaka 36. Prince Charles ambaye ni mtoto wa Malikia Elizabeth II ndiyo alikuwa mume wa Diana na walifanikiwa kupata watoto wawili ambao ni Princes William na Harry.
WATUHUMIWA 125 WAKAMATWA KWA MAKOSA MBALIMBALI MKOANI SHINYANGA
-
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, SACP Janeth Magomi
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewakamata watu 125 wanaotu...
37 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment