August 12, 2017
12:19 PM
Machaku
No comments
Waziri
wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, amewasimamisha kazi watumishi
wanne wa Idara ya Forodha, katika Mpaka wa Tanzania na Zambia, Mjini
Tunduma, ili kupisha uchunguzi wa kudaiwa kuhusika na upotevu wa lakiri
10 zinazotumika kufunga kwenye shehena ya mizigo inayopita mpakati hapo
kutoka nje ya nchi.Mpango
amewataja watumishi hao kuwa ni pamoja na Harrison Mwampashi, John
Makorere, Stephene Josia na Frank Kessy na kuviagiza vyombo vyote vya
Ulinzi na Usalama mpakani hapo viwahoji huku wakiwa wamesimamishwa kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment