November 04, 2017

Image may contain: one or more people and crowd 
Tamasha la Tigo Fiesta 2017 ndilo linaloendelea kila kona ya Tanzania na linazidi kuchukua sura mpya katika miji linapopita. Baada ya kutokea miji ya Tanga na Moshi, sasa tamasha hilo limetia timu na kuwaburudisha wakazi wa Mji wa Dodoma. Ilikuwa ni bonge la show lililopigwa toka kwa wasanii mbalili huku likishuhudiwa na maelfu ya wakazi wa Dodoma.hizi ni baadhi ya picha zilizopatikana katika tamasha hilo.

Image may contain: 2 people, people dancing, people on stage and people standing 
King Kiba aliondoka na Mji

Image may contain: 1 person, on stage and night 
Zaiid anakwambia wowo

Image may contain: 1 person, on stage, standing, crowd and indoor 
Ben Pol msanii anayeiwakilisha Dodoma alipanda na Ebitoke

Image may contain: one or more people and crowd
Maelfu ya wakazi wa Dodoma wakishuhudia Fiesta
 
Image may contain: 1 person, on stage, standing, dancing and night
Weusi kwa Stage 

 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE