November 04, 2017

Image may contain: one or more people and crowd 
Tamasha la Tigo Fiesta 2017 ndilo linaloendelea kila kona ya Tanzania na linazidi kuchukua sura mpya katika miji linapopita. Baada ya kutokea miji ya Tanga na Moshi, sasa tamasha hilo limetia timu na kuwaburudisha wakazi wa Mji wa Dodoma. Ilikuwa ni bonge la show lililopigwa toka kwa wasanii mbalili huku likishuhudiwa na maelfu ya wakazi wa Dodoma.hizi ni baadhi ya picha zilizopatikana katika tamasha hilo.

Image may contain: 2 people, people dancing, people on stage and people standing 
King Kiba aliondoka na Mji

Image may contain: 1 person, on stage and night 
Zaiid anakwambia wowo

Image may contain: 1 person, on stage, standing, crowd and indoor 
Ben Pol msanii anayeiwakilisha Dodoma alipanda na Ebitoke

Image may contain: one or more people and crowd
Maelfu ya wakazi wa Dodoma wakishuhudia Fiesta
 
Image may contain: 1 person, on stage, standing, dancing and night
Weusi kwa Stage 

 

Related Posts:

  • Official Music Video: Muda - Chidi Beenz feat. Q Chief   Chidi Benzi Chuma, ametuletea Video ya wimbo wake wa Muda aliomshirikisha Q-Chief. Story zinazidi kusambaa mitandaoni na kwenye vyombo mbalimbali vya habari, je ametengeneza kiki ili aachie Video?? Jibu unalo wewe … Read More
  • Official HD Video :Nisamehe Bure -Ochusheggy   Ukali, uwezo na ubora wa sauti yake, tunaweza sema vya kulithi siku zote huwa vinazidi. Ochu Sheddy mtoto wa mwanamuziki mkongwe nchini Eddy Sheggy, ametuletea wimbo wake mpya u naitwa Nisamehe Bure   &… Read More
  • Mtoto wa Shilole kugundua dawa ya UKIMWI Shilole msanii wa muziki na filamu wa Tanzania.    Msanii Shilole ameweka wazi kile ambacho watu wengi walikuwa hawafahamu kuhusu watoto wake, na kusema kwamba mambo yake ya mitandaoni hayawaathiri … Read More
  • B Dozen atia neno mvutano wa Diamond na Alikiba Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds Fm,Hamis Burhani Mandi B Dozen amefunguka mambo machache kuhusu mvutano wa Diamond na Alikiba pamoja na team zao katika mitandao ya kijamii. Katika mahojiano na Times Fm kweny… Read More
  • Hakuna mwenye pesa - Alikiba Allikiba Mkali wa 'Seduce Me'  Ally Salehe Kiba, amefunguka na kusema katu hataweza kuishi maisha ya kuigiza umaarufu kwani anaamini watu ndiyo waliompokea kipindi akiwa han… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE