Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria anayejulikana kwa jina la Simi, ameachia Video ya wimbo wake mpya unaitwa Owambe. Simi ni mwanamuziki aliyejibebea umaarufu sana kwa sasa hasa alipotoa wimbo wake wa Love Don't Care
Kama ulizimiwa sim yako na TCRA basi hii knakuhusu kabisa
Mkazi wa jijini Dar es Salaam akiwa na mfuko ukiwa na simu
Orijino baada ya kununua katika Gulio la siku mbili la
simu,Lililoandaliwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Makao makuu
ya kampuni hiyo,Mlimani City
…Read More
Bemba ahukumiwa miaka 18 jela
Mahakama ya kimataifa ya uhalifu The Hague imemhukumu kifungo cha miaka
18 jela, aliyekuwa makamu wa zamani wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya
Kongo, Jean-Pierre Bemba, kwa makosa ya uhalifu wa kivita
Aliposoma…Read More
Habari za Magazetini leo hii Jumanne 21 june 2016
Habari za Asubuhi hii mpendwa msomaji. Karibu tena kwa mara nyingine katika kurasa za Magazetini leo hii Jumanne 21 june 2016. Tumekukusanyia vicjhwa vya habari katika magazeti haya. Ukihitaji habari…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment