Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria anayejulikana kwa jina la Simi, ameachia Video ya wimbo wake mpya unaitwa Owambe. Simi ni mwanamuziki aliyejibebea umaarufu sana kwa sasa hasa alipotoa wimbo wake wa Love Don't Care
Machaku
Nay wa Mitego achukua maamuzi magumu kuhusu mtoto
Nay wa Mitego na Mtoto wakeNay wa Mitego Amesikitishwa na Kauli ya Mzazi mwenzake SIWEMA ambaye wamezaa naye mtoto kwa kusema kuwa mtoto huyo si wa kwake bali ni wa aliyekuwa Mpenzi wake wa zamani Obasanjo...Japo Wahen… Read More
England kuandaa kombe la dunia
Sepp Blatter Rais wa FIFA
England sasa inafikiria kuingia katika kinyanganyiro cha kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka 2026 baada ya kujaribu bahati hiyo ilii iandae fainali hizo mwaka 2018 lakini ilijikut… Read More
Magazeti ya leo hii March 26 haya hapa
Leo Alhamisi Tarehe 26 March 2015. Tunakupatia fursa ya kutembelea kurasa za magazeti ya leo hii kama tulivyoyapata
… Read More
Aliyebaka mtawa akamatwa
Polisi nchini India wamemtia mbaroni
mwanamume mmoja kuhusiana na ubakaji wa mtawa mmoja wa Kanisa Katoliki
katika makaazi ya watawa Magharibi mwa Bengal.
Viongozi wa Kikristo nchini India wamekosoa Serikali kwa k… Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment