Wanamuziki Mwana Fa na Maua Sama , leo hii wanakutana tena kwa mara ya pili katika wimbo huu mpya wa Mwana FA unaitwa Hata Sielewi. Sauti hizi kwa mara ya kwanza zilikutana katika wimbo wa Maua Samma unaitwa So Crazy. Time ni yako na nafasi ni yako, bofya hapa chini kuutazama huu wimbo mpya kabisa masikioni na Machoni mwako
WAJASIRIAMALI WADOGO MBINGA WAPATA VITAMBULISHO VYA UTAMBULISHO WA KIMKOPO
-
Katibu Tawala wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Bi Pendo Daniel
akimkabidhi mjasiriamali Joyce Hyera wakati wa ugawaji wa vitambulisho hivyo
Na Regina Ndu...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment