Wanamuziki Mwana Fa na Maua Sama , leo hii wanakutana tena kwa mara ya pili katika wimbo huu mpya wa Mwana FA unaitwa Hata Sielewi. Sauti hizi kwa mara ya kwanza zilikutana katika wimbo wa Maua Samma unaitwa So Crazy. Time ni yako na nafasi ni yako, bofya hapa chini kuutazama huu wimbo mpya kabisa masikioni na Machoni mwako
NDOTO MBAYA ZAFIKIA MWISHO: AMOS ASIMULIA MASAIBU YAKE
-
Kwa miaka mingi, maisha yangu, Amos, mwanakijiji wa makamo kutoka Kijiji
kidogo cha Sokoine, yalikosa amani. Sikuwa mgonjwa kimwili, lakini ndani ya
roh...
7 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment