January 30, 2018


Kwa mara nyingine tena Mwanamuziki Aslay kukinukisha Morogoro, safari hii akiwa na list ya mkali wa Singeli nchini Msaga Sumu, huku mwana dada Maua Sama akilipamba jukwaa kwa zile style zake kali. 
 Tayari wasanii hao wameshatibitisha kukiwasha siku ya Jumamosi ya 03 February 2018 palepale katika ukumbi wa Samaki Spot Kihonda Bima. Unasemaje sasaa

Related Posts:

  • Rais Kikwete atunukiwa Tuzo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Jitihada za muongo mzima wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuimarisha na … Read More
  • Simba yamrejesha Mwinyi Kazimoto Kiungo wa klabu ya Al Markhiya ya Qatar, Mwinyi Kazimoto Mwitula (pichani) amerejea klabu yake ya zamani, Simba SC. Habari ambazo hazijathibitishwa na upande wowote, zinasema kwamba Kazimoto amesaini Mkataba wa mia… Read More
  • Wanjera yashika namba moja Nigeria   Wasanii watanzania waendelea kupeperusha vizuri bendera ya Tanzania kupitia Muziki, Huku akiwa amechaliwa katika Tuzo za AFRIMMA , Ommy Dimpoz anaendelea kufanya vizuri kimatifa Baada ya nyimbo yake ya Wanjera ku… Read More
  • Mamlaka ya Bandari Tanzania yasaidia wana habari  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (PTA), Awadh Massawe akizungumza na wanahabari wakati akikabidhi hundi ya sh.milioni mbili kwa Taasisi ya Habari Development Association Dar es … Read More
  • New Audio/ Brai - Deka   Mwana muziki wa kizazi kipya na chipukizi toka mkoani Morogoro Abrah Yanguga maarufu kwa jina la Brai, ameachia wimbo wake mpya kabisa unaoitwa Deka. Wimbo huo uliofanyika katika studio za Pure Record chini ya mtay… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE