January 30, 2018


Kwa mara nyingine tena Mwanamuziki Aslay kukinukisha Morogoro, safari hii akiwa na list ya mkali wa Singeli nchini Msaga Sumu, huku mwana dada Maua Sama akilipamba jukwaa kwa zile style zake kali. 
 Tayari wasanii hao wameshatibitisha kukiwasha siku ya Jumamosi ya 03 February 2018 palepale katika ukumbi wa Samaki Spot Kihonda Bima. Unasemaje sasaa

Related Posts:

  • Boko Haram waua watu 20 Nigeriaboko haram Watu 20 wameuawa mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulizi mapya yanayoendeshwa na kundi la Boko Haram katika eneo hilo. Eneo la kwaJaffa, katika jimbo la Borno, lilishambuliwa Jumapili jioni na washambulizi hao … Read More
  • 36 wafariki BangladeshiMvua ya dhoruba kali iliyotokea katika mji wa Dhakanchini Bangladeshi imewauwa watu wapatao 36 na kuwajeruhi watu zaidi ya 200.  Mwandishi wa gazeti la local Prothom Alo ametangaza… Read More
  • Ugaidi:Tanzania yajiweka katika tahadhari Maafisa wa polisi Waziri wa Mambo ya ndani nchini Tanzania amesema nchi hio ipo katika tahadhari ya juu kufuatia taarifa za vyombo vya habari nchini humo kwamba, kuna uwezekano wa shambilio la ugaidi katika miji ya Dar es sal… Read More
  • Magazeti ya leo April 5/2015 haya hapaIkiwa Leo April 5 2015, wakristu ulimwenguni kote, wanasherehekea kufufuka kwa Yesu Kristu tukimaanisha siku kuu ya Pasaka. Hapa tunakupa fursa ya kupitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo. Ubalozini.blogspo… Read More
  • ACT: Tunajipanga kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Agosti Dar es Salaam.Chama cha ACT- Tanzania, kimesema hakina muda wa kufanya siasa za chuki na malumbamo dhidi ya vyama vingine vya siasa, badala yake kinajipanga vizuri na kuandaa mazingira ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE