Mwanamuziki Diamond Platnumz amekili kwamba uongozi wake wa WCB umemzui kuzungumzia chochote juu ya nyumba yake mpya. Diamond amesema ameambiwa bado kufanya inteview , akiwa tayari atazungumzia
UWOYA AMCHANA SHIGONGO
Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya ameendelea kumshutumu mkurugenzi wa
Global Publishers Erick Shigongo kwa kumchafua na kuahidi siku moja
kuongea na kuweka wazi na ushahidi kila kitu kati yake na Shigong…Read More
OMMY DIMPOZ NDANI YA WASHINGTON, DC, JUMAMOSI KAMA LOUNGE
Ommy Dimpoz akiwa na mwenyeji wake DMK uwanja wandege wa kimataifa wa
Dulles uliopo Sterling, Virginia mara tu alipowasili kwa ajili ya show
Jumamosi Sept 21, 2013 DMV.itakayofanyika KAMA Lounge address ni 11472 …Read More
HIKI NDIYO CHANZO CHA UGOMVI WA CHUCHU NA JOHARI
Ray
HATARI! Waigizaji wenye majina makubwa Bongo, Blandina Chagula
‘Johari’ na Chuchu Hans wanadaiwa kuchapana kisa kikidaiwa kuwa ni penzi
la mwigizaji, Vincent Kigosi ‘Ray’
Chuchu Hans.
Kwa muj…Read More
UYU NDIYO PRODUCER VENT SKILLS TOKA KWANZA RECORD MOROGORO.
Tutamtafuta ili kuzungumza nae mawili matatu, juu ya Tasnia ya Burudani na ufanyaji kazi wake. ni producer mdogo lakini mambo anayoyafanya huwezi kutegemea. Ngoma moja kati ya nyingi zilizofanya poa toka…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment