RAIS John Magufuli ameagiza kusitishwa kwa
usajili wa meli mpya Tanzania Bara na visiwani hadi hapo
itakapotangazwa vinginevyo kufuatia kukamatwa kwa meli 5 zinazopeperusha
bendera ya Tanzania zikiwa na dawa za kulevya.
Mfalme Salman ahakikishia ulimwengu
Salman bin Abdulaziz al-Saud, ndugu wa
Abdullah na mtoto wa mwanzilishi wa ufalme, hatimaye ni mfalme wa Saudi
Arabia na mlinzi wa maeneo mawili takatifu ya Uislamu.
Ijumaa, Januari 23, baada ya kut…Read More
Msafara wa jeshi washambuliwa Mali
Ripoti kutoka nchini Mali zinasema kuwa watu wasiojulikana wameshambulia msafara wa kijeshi karibu na mji wa Timbuktu.
Wanajeshi wawili waliuawa kwenye mji ulio kaskazini wa Douékiré.
Shambuliz hilo linajiri wakati…Read More
Majambazi wawili wauawa Dar
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya DSM CP Suleiman Kova
Taarifa
iliyotolewa na jeshi hilo Kanda Maalum ya Dar es salaam, imesema kuwa
katika tukio hilo majambazi wawili waliuawa kwa risasi wakati wakijaribu
…Read More
Mabinti wakimbia makwao wakihofia kukeketwa
Katika harakati za kupambana na ukatili wa kijinsia hususan
ukeketaji wa wanawake nchini Tanzania,zaidi ya mabinti 16 waliotoroka
makwao baada ya kuon akil adalili ya kutaka kukeketwa na jamii
zao,wazungumz…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment