Kimya kikuu kina mshindo mkuu. Ndivyo waswahili huwa tunasema na huwa tunapenda kulithi maneno haya toka kwa Wahenga. Sasa kimya cha nmwanamuziki wa Yamoto Band aliyesajiliwa W C B, Malombosa ameachia wimbo wake unaitwa Wtakubali? Malomboso kama tulivyomzoea kwa jina hilo, lakini kwa sasa anatambulika kwa jina la Mbosso.Tazama video hiyo hapa chini.
Aweso: Sitarajii watu kuunganishiwa maji ya Bangulo kijanjajanja
-
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa
Mazingira Dar...
The post Aweso: Sitarajii watu kuunganishiwa maji ya Bangulo kija...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment