Kimya kikuu kina mshindo mkuu. Ndivyo waswahili huwa tunasema na huwa tunapenda kulithi maneno haya toka kwa Wahenga. Sasa kimya cha nmwanamuziki wa Yamoto Band aliyesajiliwa W C B, Malombosa ameachia wimbo wake unaitwa Wtakubali? Malomboso kama tulivyomzoea kwa jina hilo, lakini kwa sasa anatambulika kwa jina la Mbosso.Tazama video hiyo hapa chini.
Wassira amchongea Mo Dewji kwa serikali kwa kutelekeza mashamba ya Rungwe
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen
Wassira ameitaka serikali kupitia Wizara...
The post Wassira amchongea Mo Dewji kwa...
8 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment