Kimya kikuu kina mshindo mkuu. Ndivyo waswahili huwa tunasema na huwa tunapenda kulithi maneno haya toka kwa Wahenga. Sasa kimya cha nmwanamuziki wa Yamoto Band aliyesajiliwa W C B, Malombosa ameachia wimbo wake unaitwa Wtakubali? Malomboso kama tulivyomzoea kwa jina hilo, lakini kwa sasa anatambulika kwa jina la Mbosso.Tazama video hiyo hapa chini.
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment