Kama utayataja makundi ya zamani sana kwenye muziki wa Bongo Fleva, basi lazima uitalikumbuka hili kundi la kwanza Unit. Ni moja ya makundi ya zamani kabisa katika game ya Bongo. Tunaweza kusema ni makundi waasisi wa muziki huu nchini. Wimbo wao uliofanya poa zaidi ni huu wa Msafiri Tazama Video yao hapa chini
KITUMBO AIBUKA MEYA MPYA MANISPAA YA SHINYANGA, TAZAMA AKIONGOZA KIKAO CHA
KWANZA BARAZA LA WADIWANI
-
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga ,Salum Kitumbo
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mazingira ya kisiasa ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Shinyang...
2 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment