Kama utayataja makundi ya zamani sana kwenye muziki wa Bongo Fleva, basi lazima uitalikumbuka hili kundi la kwanza Unit. Ni moja ya makundi ya zamani kabisa katika game ya Bongo. Tunaweza kusema ni makundi waasisi wa muziki huu nchini. Wimbo wao uliofanya poa zaidi ni huu wa Msafiri Tazama Video yao hapa chini
ENGINEER JAMES JUMBE HONORS HIS PROMISE AFTER STAND UNITED FC DEFEATS
MTIBWA SUGAR 1-0
-
Stand United FC celebrated a well-earned victory today, defeating Mtibwa
Sugar FC 1-0 in a thrilling match at CCM Kambarage Stadium in Shinyanga.
Followin...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment