February 22, 2018

 
Kiongozi na mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo Ndugu zitto Kabwe, anashuikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Humo. Kwa mujibu wa taarifa za kichama kupitia ukurasa wa Twitte, Ndugu zitto amepelekwa katika kituo kikubwa cha polisi na bado haijafahamika sababu za kukamatwa kwake

 

Kiongozi wa Chama Ndugu amenyimwa dhamana, hivyo bado anashikiliwa katika kituo kikuu cha Polisi Morogoro.


 



Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu ametuhumiwa kufanya Unlawful Assembly S. 74 cap 16 ya Sheria ya Kanuni ya Adhabu! -


Baada ya kuandika maelezo akiwa na Wakili wake toka Saa 22.42 hrs mpaka saa 23.40 usiku. Polisi wamekataa kutoa dhamana kwa maelezo wanasubiri maelekezo toka kwa wakubwa wao! Hivyo amewekwa mahabusu Kituo Kikuu cha Polisi Morogoro -



Polisi wamekataa kusema kama dhamana ipo wazi na masharti yake nini. Pia wamekataa kusema iwapo kesho watampeleka mahakamani kwa mujibu wa sheria au la. Emmanuel Lazarus Mvula Wakili wa

Related Posts:

  • Ancelotti atimuliwa Bayern   Kocha wa Bayern Munich Carlo Ancelotti amefutwa kazi leo kufuatia mwanzo mgumu wa msimu wa 2017/18 yakiwemo matokeo ya jana usiku ambapo timu hiyo ilikubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa PSG. Mkurugenzi … Read More
  • Mama yake Hayati Samuel Sitta Alipoikaribisha Tigo Fiesta Tabora   Kama ilivyo kawaida ya FIESTA, huambatana na matukio mbalimbali ya Kitaifa, Kwa mkoa wa Tabpora watasherehekea Fiesta siku ya Ijumaa 01 Oct .Geah Habib alipata nafasi ya kutembelea nyumbani kwa Hayati Spika wa B… Read More
  • Watanzania hawatatuelewa - Mwakyembe   Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amefunguka na kusema kuwa endapo watashindwa kufanya maandalizi mazuri ya michuano ya mataifa ya Africa (AFCON) kwa vijana 2019 basi Watanzani… Read More
  • Unique Sisters warudi kwako wewe    Wasanii wakongwe kwenye game ya muziki ambao ni ndugu wa familia moja Unique Sisters, wamesema wamerudi rasmi kwenye game, kutokana na maombi ya mashabiki na kuachia kazi yao mpya kwa ajili yao inayoitwa '… Read More
  • Mbowe Anyang'anywa Gari Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimesikitishwa na hatua ya uongozi wa Bunge la Tanzania ya kulichukua gari la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe alilokuwa akilitumia kwa sh… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE