February 22, 2018

 
Kiongozi na mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo Ndugu zitto Kabwe, anashuikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Humo. Kwa mujibu wa taarifa za kichama kupitia ukurasa wa Twitte, Ndugu zitto amepelekwa katika kituo kikubwa cha polisi na bado haijafahamika sababu za kukamatwa kwake

 

Kiongozi wa Chama Ndugu amenyimwa dhamana, hivyo bado anashikiliwa katika kituo kikuu cha Polisi Morogoro.


 



Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu ametuhumiwa kufanya Unlawful Assembly S. 74 cap 16 ya Sheria ya Kanuni ya Adhabu! -


Baada ya kuandika maelezo akiwa na Wakili wake toka Saa 22.42 hrs mpaka saa 23.40 usiku. Polisi wamekataa kutoa dhamana kwa maelezo wanasubiri maelekezo toka kwa wakubwa wao! Hivyo amewekwa mahabusu Kituo Kikuu cha Polisi Morogoro -



Polisi wamekataa kusema kama dhamana ipo wazi na masharti yake nini. Pia wamekataa kusema iwapo kesho watampeleka mahakamani kwa mujibu wa sheria au la. Emmanuel Lazarus Mvula Wakili wa

Related Posts:

  • Albamu mpya ya Barnaba kuandaliwa miezi mitatuMSANII wa muziki wa kizazi kipya, Barnaba Elias ‘Barnaba Classic’, amesema atatumia muda wa miezi mitatu kundaa albamu yake mpya. Akizungumza jijini hivi karibuni, Barnaba alisema matarajio yake ni kuingiza sokoni… Read More
  • Wanne wahukumiwa kifo MwanzaMahakama kuu ya Tanzania Mwanza imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa washtakiwa wanne akiwemo mume wa marehemu baada ya kupatikana na hatia ya kumuua zawadi Mangidu [22] wa kijiji cha Nyamalulu kata ya Kaseme wilayani Ge… Read More
  • Watu 35 wafa kwa mafuriko   Zaidi ya watu 35 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 55 wamejeruhiwa baada ya nyumba zao kuwaangukia na kuwafunika usiku wa kuamkia leo kutokana na mvua kubwa iliyonyesha wilayani Kahama, mkoani Shinyanga  … Read More
  • Bajeti ya jeshi yaboreshwa China    China inasema kuwa bajeti yake ya ulinzi itaongezeka kwa asilimia kumi mwaka huu. Wanajeshi wake wanatarajiwa kupewa dola bilioni 145 na kuendelea na mfumo wa kuongeza bajeti ya jeshi ulioanza miaka 20 iliyo… Read More
  • Tanzania kukumbwa na ukame   Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk.Agnes Kijazi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam.  Mamlaka ya Hali ya H… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE