February 22, 2018

 
Kiongozi na mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo Ndugu zitto Kabwe, anashuikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Humo. Kwa mujibu wa taarifa za kichama kupitia ukurasa wa Twitte, Ndugu zitto amepelekwa katika kituo kikubwa cha polisi na bado haijafahamika sababu za kukamatwa kwake

 

Kiongozi wa Chama Ndugu amenyimwa dhamana, hivyo bado anashikiliwa katika kituo kikuu cha Polisi Morogoro.


 



Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu ametuhumiwa kufanya Unlawful Assembly S. 74 cap 16 ya Sheria ya Kanuni ya Adhabu! -


Baada ya kuandika maelezo akiwa na Wakili wake toka Saa 22.42 hrs mpaka saa 23.40 usiku. Polisi wamekataa kutoa dhamana kwa maelezo wanasubiri maelekezo toka kwa wakubwa wao! Hivyo amewekwa mahabusu Kituo Kikuu cha Polisi Morogoro -



Polisi wamekataa kusema kama dhamana ipo wazi na masharti yake nini. Pia wamekataa kusema iwapo kesho watampeleka mahakamani kwa mujibu wa sheria au la. Emmanuel Lazarus Mvula Wakili wa

Related Posts:

  • Club ya Olimpia ya Sinza yateketea kwa moto    CLUB Olympia iliyoko Sinza-Mori jijini Dar es Salaam, imeungua na kuteketea kwa moto majira ya saa kumi na nusu usiku wa kuamkia leo ambapo chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mapema. Mlinzi wa club h… Read More
  • New Audio: Yanayonisibu- Kenny Kennie  Baada ya kufanya poa na wimbo wake wa kwanza One and Only mwanamuziki anayefanya poa sana kwa sas kwa upande wa R & B toka mkoani Morogoro, Kenny, ameachia wimbo wake mpya kabisa unaoitwa Yanayonisibu uliofanyw… Read More
  • Bunge la ahirishwa, kisa Lipumba kukamatwa, UKAWA wakomali   Tukio hili limetokea leo hii Bungeni Dodoma baada ya wapinzani kutaka hoja binafsi ya kukamatwa kwa mwenyekiti wa CUF Prof. Lipumba katika maandamano jana   Mbatia alisimama na kutoa hoja ya dharura ijadil… Read More
  • Wafanyan biashara Morogoro wagoma   Wafanya biashara mkoani Morogoro leo hii, wamegoma kufungua maduka na kuendelea na shughuli hiyo kutokana na mgomo unaoendelea.    Tukio hilo linaloendelea sasa ni kutokana na taarifa ya kukamatwa kwa … Read More
  • Juma Kaseja kusomewa mashtaka Februeary 12    Baada ya Uongozi wa Klabu ya Yanga kutangaza kuachana na aliekuwa mlindamlango wake Juma Kaseja na baadae kumfungulia mashtaka katika Mahakama ya kazi , hatimaye mlind amlango huyo sasa anatarajia kusomewa … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE