Machaku Media, tunakukutanisha na mtangazaji wa kipindi cha Planet Base cha Planet Fm ya Morogoro. Jamaa anaitwa Peace Ze Prezdaa. Hapa licha ya kufanya kipindi cha kiburudani katika radiko, lakini hapa anajaribu kuzungumzia kuhusu maisha tunayoishi, yakawaida kabisa. Jumaapili hii na kila jumapili, tutakuwa tunakukutanisha naye katika sagment hii ya About Life. Twende sasa kwa kumskiliza hapa chini
SPIKA ZUNGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA EU
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu,
amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa
Umo...
1 hour ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment