Machaku Media, tunakukutanisha na mtangazaji wa kipindi cha Planet Base cha Planet Fm ya Morogoro. Jamaa anaitwa Peace Ze Prezdaa. Hapa licha ya kufanya kipindi cha kiburudani katika radiko, lakini hapa anajaribu kuzungumzia kuhusu maisha tunayoishi, yakawaida kabisa. Jumaapili hii na kila jumapili, tutakuwa tunakukutanisha naye katika sagment hii ya About Life. Twende sasa kwa kumskiliza hapa chini
Kumekucha! KIKAO CHA KUPITISHA WAGOMBEA UBUNGE CCM KUFANYIKA DODOMA
-
Dodoma, Julai 15, 2025 – Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa Kikao
cha Kawaida cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kitafanyika
tarehe 1...
14 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment