March 07, 2018

Image result for abdul Nondo


Baada ya Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo kupotea usiku wa jana wanafunzi hao wametoa wito kwa jeshi la polisi kuchukua hatua za haraka kuhakikisha anapatikana akiwa hai.

Wakiongea na waandishi wa Habari leo Machi 07, 2018 jijini Dar es salaam, Wanafunzi hao wamewataka Watanzania na taasisi binafsi kupaza sauti juu ya vitendo vya kupotea kwa watu nchini. Tazama video hapa chini

                     

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE