April 16, 2018

Mahakama huko Somaliland imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela binti mmoja ambaye ni mwandishi wa mashairi nchini humo kwa kuandika mashairi ya kuhamashisha ‘umoja’.
Binti huyo anayejulikana kwa jina la Nacima Qorane amekuwa akiandika mashairi ya kuhamasisha Somaliland kuungana na Somalia.
Somaliland  ilijitambulisha kuwa huru mwaka 1991 na kujitenga na nchi ya Somalia japokuwa nchi hiyo haitambuliwi kimataifa kama nchi.
Hatahivyo wanaharakati wa haki za binadamu nchini humo wameomba kuachiliwa kwa binti huyo kwani alichokifanya ni uhuru wake wa kujieleza ambao uko ndani ya haki za binadamu

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE