April 16, 2018

Mahakama huko Somaliland imemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela binti mmoja ambaye ni mwandishi wa mashairi nchini humo kwa kuandika mashairi ya kuhamashisha ‘umoja’.
Binti huyo anayejulikana kwa jina la Nacima Qorane amekuwa akiandika mashairi ya kuhamasisha Somaliland kuungana na Somalia.
Somaliland  ilijitambulisha kuwa huru mwaka 1991 na kujitenga na nchi ya Somalia japokuwa nchi hiyo haitambuliwi kimataifa kama nchi.
Hatahivyo wanaharakati wa haki za binadamu nchini humo wameomba kuachiliwa kwa binti huyo kwani alichokifanya ni uhuru wake wa kujieleza ambao uko ndani ya haki za binadamu

Related Posts:

  • Interview ya Millarda Ayo na Sporah hii hapa     Kama hukupata wasaa wa kutazama interview ya mtangazaji wa Clouds FM Millarda Ayo akiwa na Sporah Njau ndani ya Sporah Show ya Clouds TV, basi unaweza kupata wasaa wakuitazama interview nzima  kwa kubon… Read More
  • Dayna Nyange aomba jamii Dayna Nyange akiwa na Ney wa Mitego Mwanadada anayekuja kwa kasi katika muziki wa bongo, Dayna Nyange, ameiomba jamii isimfikirie vibaya kuhusu wimbo wake wa Nitulize. Kauli ya msanii huyo imekuja baad… Read More
  • Waliokufa katika ajali MOROGORO wafikia 5   Idadi ya watu waliokufa katika ajali iliyohusisha basi na treni katika eneo la KIBAONI wilaya ya KILOSA mkoani MOROGORO imeongezeka na kufikia WATANO baada ya dereva wa basi kufariki wakati akipatiwa matibabu Ka… Read More
  • Rais Kikwete aongoza mazishi ya Chifu Kingalui 14 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole na pia kumpongeza Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru wa Mkoa wa Morogoro Chifu Kingalu wa 15  baada ya kusimikwa rasmi kijijini Kinole mkoani Morogoro jana Alhamis… Read More
  • Diamond avunja rekodi Trace TV Kwenye Top 10 ya muziki mkali wa Afrika ambayo hufanyika kila Alhamisi kwenye kituo cha TV cha Ufaransa ambacho kina mamilioni ya Watazamaji Afrika (TRACE TV Urban) July 2, 2015 single ya ‘Nana’ Diamond ft Mr Flavour … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE