May 08, 2018

 
Baada ya albamu ya KOD kufanya vizuri na kujiwekea rekodi kibao, J.Cole ametangaza ziara yake ya muziki kwa mwaka huu.
Ziara hiyo aliyoipa jina la KOD Tour inatarajiwa kuzunguka katika miji kibao nchini Marekani akifuatana na Young Thug.

Cole anatarajiwa kuanza kutumbuiza kwenye ziara hiyo kwa mara ya kwanza August 9 katika ukumbi wa AmericanAirlines Arena mjini Miami.
Ziara hiyo inatarajiwa kufikia tamati Oktoba 10 kwenye mji wa Boston.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE