Fainali za Sports Extra Ndondo Cup, zinakwenda kumalizikia leo hii kwa kuwakutanisha Manzese Utd na Kivule United. Kupitia Dauda TV, Nasi tnakuletea fainali hizo live hapa.
Picha: Dayna Nyange katika muonekano huu mpya,
Pozi No.1
Mkali wa muziki wa bongo fleva Tanzania Dayna Nyange amekuja na muonekano huu mpya kwa sasa. Dayna ambaye anafanya poa sana na wimbo wake Nitulize aliomshirikisha Nay wa Mitego
Pozi …Read More
Bunge la Afrika Kusini kusimama kupinga ubaguzi
Bunge la Afrika Kusini litasimamisha shughuli zake wiki ijayo kwa ajili
ya kuendesha mapambano ya kupinga ukatili dhidi ya wageni nchini humo.
Ripoti iliyotolewa jana na bunge hilo imesema kuwa, wiki ijayo bunge
…Read More
Sherehe za miaka 100 zafanyika Gallipoli
Sanamu za makumbusho Gallipoli
Sherehe zimefanyika eneo la
Gallipoli nchini Uturuki kuadhimisha miaka mia moja tangu uvamizi wa
kijeshi uliofanywa eno hilo na wanajeshi wa muungano wa…Read More
MSD yaokoa Sh. 15.8 bilioni
-
BOHARI kuu ya dawa MSD imesema kuwa kipindi cha Julai mwaka jana mpaka
sasa...
The post MSD yaokoa Sh. 15.8 bilioni first appeared on Mwanahalisi Online.
TASAF KUBORESHA ZAIDI AJIRA ZA MUDA MFUPI
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Shadrack Mziray
amesema ziara ya mafunzo nchini, Afrika Kusini kuhusu utekelezaji wa ajira
za ...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment