Fainali za Sports Extra Ndondo Cup, zinakwenda kumalizikia leo hii kwa kuwakutanisha Manzese Utd na Kivule United. Kupitia Dauda TV, Nasi tnakuletea fainali hizo live hapa.
MDEE AWATAKA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU
Wakati miezi tisa ikiwa imebaki Tanzania kufanya uchaguzi mkuu,
Watanzania wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari
la kudumu la wapiga kura ili kuepuka vitendo vya wizi wa kura.
Rai hiyo il…Read More
NEW AUDIO/ UNCLE G ft DAYNA NYANGE - MAJI NA MOTO
Mwanamuziki Uncle G, Ameachia wimbo wake mpya kabisa aina ya Rhumba aliomshirikisha mwana dada Dayna Nyange ambaye naye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa I DO. Katika wimbo huo uliowashangaza wengi hasa kwa u…Read More
FLAVIANA MATATA AWATAKA WATANZANIA KUUNGANA ILI KUINUA ELIMU
Leo mapema katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm,mwana
mitindo wa kimataifa Flaviana Matata ameamua kuungana na wa Tanzania
ili kusaidia kuinua sekta ya elimu nchini kupitia kampeni yake ya MATATA FOUNDATIO…Read More
WATUHUMIWA WA ESCROW WAFIKISHWA MAHAKAMANI
Watuhumiwa wakifikishwa mahakamani
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini Tanzania – TAKUKURU, leo
imewafikisha katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es
Salaam, watumishi wawili waaandamizi …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment