Tamasha la Fiesta, ndilo Tamasha linalotambulika kuwa ni tamasha kubwa la burudani nchini Tanzania. Katika msimu wa Fiesta , mambo mengu huandamana na tukio hili kubwa la kihistoria. Lakini katika Fiesta ya mwaka jana, lilitokea tukio la aina yake na kuwaacha wasanii wakichanganyikiwa. Ebu tazama hii video hapa chini
August 04, 2018
1:15 PM
Machaku
No comments
Tamasha la Fiesta, ndilo Tamasha linalotambulika kuwa ni tamasha kubwa la burudani nchini Tanzania. Katika msimu wa Fiesta , mambo mengu huandamana na tukio hili kubwa la kihistoria. Lakini katika Fiesta ya mwaka jana, lilitokea tukio la aina yake na kuwaacha wasanii wakichanganyikiwa. Ebu tazama hii video hapa chini
Related Posts:
Wachezaji wa Serengeti Boys wamepimwa kama wanatumia dawa kusisimua misuli Kuna taarifa zimeenea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii zikimhusisha mchezaji wa Serengeti Boys kufanyiwa vipimo na maafisa wa Caf kutaka kujua kama alitumia dawa za kusisimua misuli kabla ya mechi dhidi ya An… Read More
Afande anatakiwa amwandikie mashairi Harmorapa – Majani Producer mkongwe wa muziki kutoka Bongo Record, P-Funk Majani amemtaka rapa mkongwe Afande Sele kumuandikia mashahiri msanii Hamorapa anayechipukia kwenye game ili kutimiza ndoto zake na siyo kumkati… Read More
Mambo 3 aliyozungumza Kaburu ndani ya Sports Extra kuhusu hali ilivyo ndani ya Simba Mei 12, 2017 uongozi wa klabu ya Simba ulisaini mkataba wa udhamini na kampuni ya SportPesa wenye thamani ya shilingi bilioni 4.9 za Tanzania kwa muda wa miaka mitano. Baada ya mkataba huo kusainiwa, mambo mengi yakaanz… Read More
Uamuzi wa Star TV ni Usaliti kwa wana Habari TEF Jukwaa la wahariri Tanzanai limetoa taarifa yake kwa vyombo vya habari juu ya tukio la usaliti wa jukwaa hilo unaofanywa na Star TV. … Read More
Meya wa JIJI LA ARUSHA kayasema haya baada ya kutoka Mahabusu Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro amesema kuwa ataelekeza fedha zote za rambirambi kwa wafiwa badala ya kuzipeleka kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo. Aidha amehoji ni kwanini fedha z… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment