
Manchester City huenda wakawapiku Tottenham katika kumwinda kiuungo wa kati wa Ajax Frenkie de Jong, 21. (Daily Star Sunday)
Meneja
wa zamani wa Chelsea manager Antonio Conte na kocha wa Juventus Max
Allegri wametajwa kuwa wale wanaweza kuchukua nafasi yake Jose Mourinho
kama meneja wa Manchester United mwaka ujao. (Sunday Express)

Manchester United wamemuamrisha Pogba aache kuzungumzia matatizo yake na meneja Jose Mourinho na uwezekano wake wa kuondoka Old Trafford. (Sunday Mirror)Manchester United wamemuamrisha Pogba aache kuzungumzia matatizo yake na meneja Jose Mourinho na uwezekano wake wa kuondoka Old Trafford. (Sunday Mirror)

West Ham wanatarajiwa kujiunga katika mbio za kumsaini kiungo wa kati wa
Atlanta United Miguel Almiron, mchezaji mwenye miaka 24 raia wa
Paraguay kwa pauni milioni 25. (Football.London)

Tottenham imepanga kumsainisha mchezaji wa Brazil Malcom, 21,wa Barcelona ambaye anahangaikia kuchukua nafasi ya Philippe Coutinho na Ousmane Dembele. (Corriere dello Sport - in Spanish)
Kiungo Aaron Ramsey, 27,amejihudhuru ili aondoke timu ya Arsenal katika kipindi cha kiangazi, ingawa amesema kuwa anashangaa kwanini Arsenal wamesitisha tena mkataba wake wa miaka minne (Evening Standard)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment