Mwanamuziki na Mtangazaji Maarufu kutoka mkoani Morogoro MC Calvin Maarufu Zombie President, ameachia wimbo wake mpya kabisa uitwao R I P Ngwair. Wimbo wa R I P Ngwair ni wimbo unaoonesha mapenzi ya wazi kabisa kutoka kwa msanii huyo kumuhusu Mangwea ambaye amefariki takriban mika 6 sasa imepita. Hakika pengo la Ngwair halitazibika. R I P Ngwair
DKT. BITEKO AIPONGEZA EWURA USIMAMIZI SEKTA YA MAJI
-
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka
Biteko,akizungumza wakati akizindua Taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za Maji
na Usafi wa Mazingir...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment