Mwanamuziki na Mtangazaji Maarufu kutoka mkoani Morogoro MC Calvin Maarufu Zombie President, ameachia wimbo wake mpya kabisa uitwao R I P Ngwair. Wimbo wa R I P Ngwair ni wimbo unaoonesha mapenzi ya wazi kabisa kutoka kwa msanii huyo kumuhusu Mangwea ambaye amefariki takriban mika 6 sasa imepita. Hakika pengo la Ngwair halitazibika. R I P Ngwair
DUKA LA KIPEKEE LA UREMBO WA NGOZI NA MANUKATO LAZINNDULIWA SHINYANGA MJINI
-
Mfanyabiashara Maarufu mjini Shinyanga Georgia Buyamba amezindua Duka la
kipekee la Vipodozi na Manukato ‘Unique Skin & Scents’ likiwa limesheheni
bidhaa ...
25 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment