Mwanamuziki na Mtangazaji Maarufu kutoka mkoani Morogoro MC Calvin Maarufu Zombie President, ameachia wimbo wake mpya kabisa uitwao R I P Ngwair. Wimbo wa R I P Ngwair ni wimbo unaoonesha mapenzi ya wazi kabisa kutoka kwa msanii huyo kumuhusu Mangwea ambaye amefariki takriban mika 6 sasa imepita. Hakika pengo la Ngwair halitazibika. R I P Ngwair
SOUWASA YAPITA NYUMBA KWA NYUMBA KUHAMASISHA WATEJA KUREJESHA HUDUMA ZA MAJI
-
Wafanyakazi wa SOUWASA wakitoa elimu kwa mwananchi na mkazi wa Ruhuwiko
Shuleni kuhusu umuhimu wa matumizi ya maji na kutumia fursa iliyotolewa
bure ya ku...
11 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment