Mwanamuziki na Mtangazaji Maarufu kutoka mkoani Morogoro MC Calvin Maarufu Zombie President, ameachia wimbo wake mpya kabisa uitwao R I P Ngwair. Wimbo wa R I P Ngwair ni wimbo unaoonesha mapenzi ya wazi kabisa kutoka kwa msanii huyo kumuhusu Mangwea ambaye amefariki takriban mika 6 sasa imepita. Hakika pengo la Ngwair halitazibika. R I P Ngwair
VIJANA NA WASOMI MKOANI MWANZA WAHIMIZWA UZALENDO NA UJASIRIAMALI KATIKA
KONGAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
Katika jitihada za kuimarisha chachu ya maendeleo, Kongamano la Wasomi
lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)...
5 days ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment