Kufuatia tukio la ajali ya Moto uliosababishwa na Roli la Mafuta na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 75 mkoani Morogoro, tukio lililotokea 10 August 2019 siku ya Jumamosi katika eneo la Msamvu, wasanii wa Hood Bangerz wameamua kuomboleza msiba huwo kwa kufanya wimbo wa pamoja unaoitwa Never Forget Moro
Migogoro ya ndoa yaongezeka, Serikali yawaangukia viongozi wa dini
-
MIGOGORO ya ndoa na familia imeongezeka kwa asilimia 8.3 kutoka mashauri
28,773 yaliyosuluhishwa 2022/23 hadi kufikia 31,380 yaliyofanyiwa kazi
2023/24. A...
26 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment