Kufuatia tukio la ajali ya Moto uliosababishwa na Roli la Mafuta na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 75 mkoani Morogoro, tukio lililotokea 10 August 2019 siku ya Jumamosi katika eneo la Msamvu, wasanii wa Hood Bangerz wameamua kuomboleza msiba huwo kwa kufanya wimbo wa pamoja unaoitwa Never Forget Moro
VIJANA NA WASOMI MKOANI MWANZA WAHIMIZWA UZALENDO NA UJASIRIAMALI KATIKA
KONGAMANO
-
Na Mwandishi Wetu
Katika jitihada za kuimarisha chachu ya maendeleo, Kongamano la Wasomi
lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)...
5 days ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment