Kufuatia tukio la ajali ya Moto uliosababishwa na Roli la Mafuta na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 75 mkoani Morogoro, tukio lililotokea 10 August 2019 siku ya Jumamosi katika eneo la Msamvu, wasanii wa Hood Bangerz wameamua kuomboleza msiba huwo kwa kufanya wimbo wa pamoja unaoitwa Never Forget Moro
Slotopia inakuletea michezo yenye burudani bila kikomo ndani ya Meridianbet
-
MERIDIANBET wanawaletea wapenzi wa kasino mtandaoni njia mpya ya
kupumzika na kufurahia msimu huu...
1 hour ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment