Jimmy Flavour ni mmoja ya wasanii toka mkoani Morogoro. amefanya nyimbo kadhaa na zikafanya powa sana ndani ya Morogoro. nyimbo kama Zohari,usingoje nikifa, na kushirikishwa nyimbo kadhaa na msanii Agatha Mbale. Lakini kwa sasa ukizungumzia Hit song ndani ya Mkoa wa Morogoro, hutosita kuutaja wimbo unaitwa Watabamba. Huu wimbo umebamba kweli kwa Morogoro hasa kwenye Vigodoro, na Radio mbalimbali. Respect Kwako Jimmy , ngoma kali inabamba.
SPIKA ZUNGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA EU
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu,
amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa
Umo...
29 minutes ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment