Jimmy Flavour ni mmoja ya wasanii toka mkoani Morogoro. amefanya nyimbo kadhaa na zikafanya powa sana ndani ya Morogoro. nyimbo kama Zohari,usingoje nikifa, na kushirikishwa nyimbo kadhaa na msanii Agatha Mbale. Lakini kwa sasa ukizungumzia Hit song ndani ya Mkoa wa Morogoro, hutosita kuutaja wimbo unaitwa Watabamba. Huu wimbo umebamba kweli kwa Morogoro hasa kwenye Vigodoro, na Radio mbalimbali. Respect Kwako Jimmy , ngoma kali inabamba.
Polisi wamtaka kada wa wa Chadema kuwasilisha uhahidi ‘mauaji ya Lissu’
-
JESHI la Polisi nchini Tanzania, limesema linaendelea na uchunguzi wa
kukusanya ushahidi kutokana na taarifa ya Hilda Newton, kada wa Chama cha
Demokrasi...
4 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment