Jimmy Flavour ni mmoja ya wasanii toka mkoani Morogoro. amefanya nyimbo kadhaa na zikafanya powa sana ndani ya Morogoro. nyimbo kama Zohari,usingoje nikifa, na kushirikishwa nyimbo kadhaa na msanii Agatha Mbale. Lakini kwa sasa ukizungumzia Hit song ndani ya Mkoa wa Morogoro, hutosita kuutaja wimbo unaitwa Watabamba. Huu wimbo umebamba kweli kwa Morogoro hasa kwenye Vigodoro, na Radio mbalimbali. Respect Kwako Jimmy , ngoma kali inabamba.
MHANDISI JOYCE KISAMO WA WIZARA YA NISHATI ATWAA TUZO YA KIMATAIFA YA LUCE
2024
-
Mhandisi. Joyce Kisamo akiwa mwenyefuraha baada ya kukabidhiwa TUZO ya LUCE
ya mwanamke aliyefanya vizuri katika nishati, mazingira na sekta endelevu
(Leg...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment