October 06, 2012

Meneja wa Bia ya Serengeti ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012,Allan Chonjo akisalimiana na Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Marekani Rick Ross mara baada ya kuwasili usiku wa kuamkia leo. 
Rick Ross akitoa salamu ya salut kwa washabiki wake waliojitokeza usiku wa jana (hawapo pichani) kumlaki
Operesheni Meneja wa Prime Time Promotions,Balozi Kindamba akiwaongoza wageni wake kuelekea kwenye gari tayari kuondoka kuolekea kwenye hoteli waliopangiwa kufikia usiku wa jana,Shoto ni Rick Ross na akiwa na baadhi wanamuziki wenzake aliombatana nao.
Rick Ross akiingia ndani ya mchuma
Rick Ross akiondoka na mchuma wake kuelekea hotelini .
Mmoja wa mashabiki wa Rick Ross aliyezua tafrani kiaina akijifananisha na Rick Ross akizungumza na na baadhi ya watu waliojitokeza kumlaki The Big Boss mwenye Rick Ross.
 
 
Rozay akiwa na Meneja wa prime Time promotion huyu si mwingine anajulikana kwa jina la Balozi kindamba hapo walikuwa wakielekea katika gari ambalo atapanda mtu mzima Rick ross mpaka katika Hotel ya kilimanjaro kwa ajili ya mapumziko.
 
Hapo wakazi wa Dar es Salaam wakimuangalia mtu mzima Rick ross baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Airport.
 
 
Rozay akiwa amewasili katika hotel ya kilimanjaro kwa ajili ya mapumziko na watu wake aliokuja nao kutoka pande za state wakiwa wanatoa mizigo katika gari.
 
The boss baada ya kuwasili  katika hotel ya kilimanjaro 
 

  Millard  Ayo  akiwa  na Official Dj wa Rick Ross.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE