December 05, 2012


 Mwanamuziki mkongwe   wa muziki  wa  Bongo  freva lady jay dee  ambaye  ndiye   mmiliki wa  bendi  ya  Machozi  ya  jijini  Dar  ess  Salaam, amewaomba wadau  wake kutoa  hukumu  juu  ya  kurudishwa  aliyekuwa mwimbaji  wa  kundi  hilo    Mwinyi  wa      machozi

 
 .
                                                     Mwinyi  wa machozi

 Myinyi  awali alijitoa kwa  madai  ya  ubabaishaji mkubwa  unaoendelea  ndani  ya  bendi  hiyo

Akiandika  katika page  yake  Jide  amesema

"Nadhani wote mnamkumbuka Mwinyigoha, aliekuwa MACHOZI BAND kitambo. Baada ya yote yaliotokea na mlioyasikia anataka kurudishwa kundini, Naomba mvae kiatu changu..., Je ingekuwa wewe ni JIDE ungemsamehe na kumrudisha tena kazini?? Jiweke kwenye nafasi yangu unipe jibu..Tiririkaaaa''

Photo: Nadhani wote mnamkumbuka Mwinyigoha, aliekuwa MACHOZI BAND kitambo. Baada ya yote yaliotokea na mlioyasikia anataka kurudishwa kundini, Naomba mvae kiatu changu..., Je ingekuwa wewe ni JIDE ungemsamehe na kumrudisha tena kazini?? Jiweke kwenye nafasi yangu unipe jibu..Tiririkaaaa
                                                     Hap   jide  akiwa  na  Mwinyi

                                                       Machozi band kazini
 

Related Posts:

  • NEW SONG/ MAISHA YETU YALIVYO -DANGER RANGER ft VIVA CONSCIOUS   Music : Danger Ranger ft Viva Conscious and Mourice Song : Maisha yetu Yalivyo Produced by Mesen Selekta Huu ni wimbo wa kwanza toka katika mradi wa Viva conscious arts Presenting ambao unatoa Fursa ya Kusaidia… Read More
  • SHEKH ISSA BIN PONDA ARUDISHWA RUMANDE Kiongozi wa Taasisi ya Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda ameendelea kusota rumande baada ya kesi yake kuahirishwa kwa mara nyingine kwa kuwa jalada la kesi yake, halijarudi kutoka Mahakama Kuu Kanda ya … Read More
  • HAPPY BIRTHDAY 2 U DAYNA NYANGE    LEO    AMEZALIWA  MSANII WA  MUZIKI  WA  BONGO  FREVA  TOKA  MKOANI  MOROGORO, MWANA  DADA  MWANAISHA  BAKARI  ( dayna  n… Read More
  • MUME AMKATA MKEWE SEHEMU ZA SIRI   Mkazi wa Mtaa wa King’azi, Mbezi Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), amejeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwamo kukatwa sehemu za siri na mumewe kwa kile kinachodaiwa kuwa n… Read More
  • TAARIFA ZA KIFO CHA AMINA NGALUMA   Amina Ngaluma ni miongoni mwa waimbaji ambao waliipa umaarufu bendi ya African Revolution ‘Tam tam’ kupitia wimbo wa Mgumba na baadae kujiunga na bendi ya Double M Sound,kupitia ukurasa wa Amina Ngaluma wa Facebook… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE