December 05, 2012


 Mwanamuziki mkongwe   wa muziki  wa  Bongo  freva lady jay dee  ambaye  ndiye   mmiliki wa  bendi  ya  Machozi  ya  jijini  Dar  ess  Salaam, amewaomba wadau  wake kutoa  hukumu  juu  ya  kurudishwa  aliyekuwa mwimbaji  wa  kundi  hilo    Mwinyi  wa      machozi

 
 .
                                                     Mwinyi  wa machozi

 Myinyi  awali alijitoa kwa  madai  ya  ubabaishaji mkubwa  unaoendelea  ndani  ya  bendi  hiyo

Akiandika  katika page  yake  Jide  amesema

"Nadhani wote mnamkumbuka Mwinyigoha, aliekuwa MACHOZI BAND kitambo. Baada ya yote yaliotokea na mlioyasikia anataka kurudishwa kundini, Naomba mvae kiatu changu..., Je ingekuwa wewe ni JIDE ungemsamehe na kumrudisha tena kazini?? Jiweke kwenye nafasi yangu unipe jibu..Tiririkaaaa''

Photo: Nadhani wote mnamkumbuka Mwinyigoha, aliekuwa MACHOZI BAND kitambo. Baada ya yote yaliotokea na mlioyasikia anataka kurudishwa kundini, Naomba mvae kiatu changu..., Je ingekuwa wewe ni JIDE ungemsamehe na kumrudisha tena kazini?? Jiweke kwenye nafasi yangu unipe jibu..Tiririkaaaa
                                                     Hap   jide  akiwa  na  Mwinyi

                                                       Machozi band kazini
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE