
So
Diamond Platnumz jana alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa
waliohudhuria harusi ya kimila ya Peter Okoye wa kundi la P-Square na
mchumba wake, Lola Omotayo iliyofanyika jijini Lagos, Nigeria
Kwenye
harusi hiyo, Diamond alipata nafasi ya si tu kushuhudia Peter na Lola
wakisema ‘Yes I do’ bali pia aliweza kuchill na cream ya mastaa wa
Afrika wakiwemo Iyanya na mchezaji wa timu ya Tottenham Hotspur na timu
ya taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor.
Alipata pia fursa ya kuwaonesha Adebayor na Iyanya style yake ya kucheza ya Ngololo
Hata hivyo, kitu kimoja hakikwenda sawa. Ni nguo aliyokuwa ameivaa, ambayo iligeuka gumzo kwa mashabiki wengi wa muziki nchini Nigeria waliosema kachemka.
Issue ilikuwa hivi, Iyanya alipost picha akiwa na Diamond pamoja na jamaa mwingine na kuandika: With @ubifranklintriplemg @diamondplatnumz after @peterpsquare trad.”
Polisi jamii wa masuala ya mitindo, wakamweka kitimoto:
Alipata pia fursa ya kuwaonesha Adebayor na Iyanya style yake ya kucheza ya Ngololo
Hata hivyo, kitu kimoja hakikwenda sawa. Ni nguo aliyokuwa ameivaa, ambayo iligeuka gumzo kwa mashabiki wengi wa muziki nchini Nigeria waliosema kachemka.
Issue ilikuwa hivi, Iyanya alipost picha akiwa na Diamond pamoja na jamaa mwingine na kuandika: With @ubifranklintriplemg @diamondplatnumz after @peterpsquare trad.”
Polisi jamii wa masuala ya mitindo, wakamweka kitimoto:
Zaidi ingia ha kandilihuru.blogspot.com
0 MAONI YAKO:
Post a Comment