Uwezi amini unaambiwa ule uhusiano wa kimapenzi kati ya Drake na Chriss Brown uliokuwa Gumzo week iliyopita baada ya kutangaza kuwa wameamua kuwa wapenzi kabisa ..eti sasa wameachana tena na inasemekana kuwa kisa ni Chriss Brown , inasemekana kuwa Drake Amemfuma Rihanna Mara Kadhaa Akiwa anawasiliana na Chriss Brown wakichat Massage za Kimapenzi ...Mhhh Wacha Movie iendeleee......
-Regina Iwole
0 MAONI YAKO:
Post a Comment