
Mwimbaji wa bendi ya Njenje Dar es Salaam
Mwimbaji
nyota wa bendi maarufu ya Njenje ya jijini Dar es Salaam, Nyota Ali
Waziri yupo katika mchakato wa kurekodi na baadhi ya wasanii wa muziki
nchini.
Nyota Waziri anayetamba na wimbo maarufu wa 'TULIZANA MPENZI TUPENDANE', anatarajia kushirikishwa kati moja ya wimbo ndani ya albamu mpya ya msanii wa kike Deborah Nyangi ambaye ni mwimbaji wa bendi ya Kalunde jijini Dar es Salaam.
Nyota Waziri amekwisha fanya mazungumzo tayari na dashosti huyo katika kibao kipya kinachofanyiwa kazi chini ya Prodyuza C9, wimbo ambao utahusu maswala ya kuelimisha jamii unatarajiwa kukamilika hivi karibuni.
Nyota Waziri anayetamba na wimbo maarufu wa 'TULIZANA MPENZI TUPENDANE', anatarajia kushirikishwa kati moja ya wimbo ndani ya albamu mpya ya msanii wa kike Deborah Nyangi ambaye ni mwimbaji wa bendi ya Kalunde jijini Dar es Salaam.
Nyota Waziri amekwisha fanya mazungumzo tayari na dashosti huyo katika kibao kipya kinachofanyiwa kazi chini ya Prodyuza C9, wimbo ambao utahusu maswala ya kuelimisha jamii unatarajiwa kukamilika hivi karibuni.

0 MAONI YAKO:
Post a Comment