
Mshambualiaji wa Colombia James Rodriguez ndio anaongoza mpaka sasa akiwa na magoli matano, akifuatiwa na Neymar, Messi, Muller, ambao wote wana magoli manne kila mmoja, Arjen Robben, Van Persie na Benzema wanafuatia wakiwa na magoli matatu.
Listi kamili ya wafungaji bora wa World Cup

0 MAONI YAKO:
Post a Comment