November 14, 2014

Tumeshasikia kuwa kuna msanii wa Marekani ambaye Diamond Platnumz tayari amefanya naye collabo ingawa bado hajamuweka wazi, lakini hivi karibuni alimtaja msanii mkubwa wa Mareknai ambaye ana ndoto ya kufanya naye pia collabo.



Akizungumza na show ya Sporah, Diamond amesema licha ya kufanikiwa kufanya collabo na baadhi ya wasanii wakubwa wa Africa kama Davido, Iyanya, Mafikizolo na wengine, lakini ndoto yake ya miaka mingi ni kufanya wimbo na hit maker wa ‘Good Kisser’, Usher Raymond.

“Natamani nifanye wimbo na Usher Raymond sana, natamani nifanye naye nyimbo kwasababu ni mtu ambaye nilikuwa nikimtazama tangia mdogo nakua, nikifanya nae nahisi nitatimiza moja ya ndoto zangu.” alisema.

Related Posts:

  • Mbowe Anyang'anywa Gari Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kimesikitishwa na hatua ya uongozi wa Bunge la Tanzania ya kulichukua gari la Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe alilokuwa akilitumia kwa sh… Read More
  • Ancelotti atimuliwa Bayern   Kocha wa Bayern Munich Carlo Ancelotti amefutwa kazi leo kufuatia mwanzo mgumu wa msimu wa 2017/18 yakiwemo matokeo ya jana usiku ambapo timu hiyo ilikubali kichapo cha mabao 3-0 kutoka kwa PSG. Mkurugenzi … Read More
  • Unique Sisters warudi kwako wewe    Wasanii wakongwe kwenye game ya muziki ambao ni ndugu wa familia moja Unique Sisters, wamesema wamerudi rasmi kwenye game, kutokana na maombi ya mashabiki na kuachia kazi yao mpya kwa ajili yao inayoitwa '… Read More
  • Official Video: Madee ft Nandy - Sema    Madee anatualika hapa kuitazama Video mpya ya wimbo wake wa Sema aliomshirilisha Nandy       … Read More
  • Mama yake Hayati Samuel Sitta Alipoikaribisha Tigo Fiesta Tabora   Kama ilivyo kawaida ya FIESTA, huambatana na matukio mbalimbali ya Kitaifa, Kwa mkoa wa Tabpora watasherehekea Fiesta siku ya Ijumaa 01 Oct .Geah Habib alipata nafasi ya kutembelea nyumbani kwa Hayati Spika wa B… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE