February 26, 2016

 Mdau mkubwa sana wa Blog hii pendwa Edson Kati, siku ya jana alihadhimisha mwaka mmoja wa ndoa yake , toka alipofunga ndoa hi December 2013. 
   Maisha ya ndoa siku zote yana mitihani, misuguano  ya hapa na pale hasa ukisikia maneno ya watu wa pembeni, lakini ndugu yetu Edson anaweza kupambana nayo na kuifanya ndoa yake kuwa bora kabisa kila siku.

 Kwa niaba ya timu ya Ubalozini.blogspot,com tunapenda kuwatakia Kheri nyingi kwenu, mungu azidishe nuru yake katika maisha yenu, awape baraka zote zinazohitajika katika ndoa, kuidumisha na kuzidi kuwapa uvumilivu



Related Posts:

  • Watoa huduma wa afya wametakiwa kufanya kazi kwa ufanisi ili kuepukan na vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga ili kuhakikisha takwimu za vifo vya akina mama wajawazito haziongezeki kama ilivyo sasa  kwani… Read More
  • Official Video: Sihitaji - Strevol Kutoka mji kasoro Bahari Morogoro, maeneo ya Forest ndani ya studio za Kwanza Record chini ya mtayarishaji Vennt Skillz, Mokomoko Movemennt inamdondosha kwenu na kumtambulisha rasmi zao lingine kabisa chini ya Lebo hiy… Read More
  • Eid al Fitr : Makkah Eid al Fitr 1439 Khutbah Sheikh Humaid   Kutokea Makkah, tunakuletea Khutbah ya  Eid al Fitr  kama ilivyoongozwa na Sheikh Humaid                   &n… Read More
  • Eid EL Fitri: Waislam watakiwa kuitunza Amani   Waislamu duniani kote leo hii wameswali swala ya Eid ul-Fitr 2018. Mkoani Morogoro licha ya misikiti Mingio kuendesha Ibada hiyo. lakini sisi tunakuletea Ibada iliyoswaliwa kati viwanja vya The Islamic Foundition j… Read More
  • Miss Morogoro 2018, yazinduliwa Rasmi Samaki Spot Mratibu Mkuu New Miss Morogoro 2018 Farida Kilususu akizungumza na ummati wa wahudhuliaji usiku wa jana pale Samaki Spot Pazia, lishafunguliwa rasmi, mwenye macho na haone, wamasikio wasikie. Ndiyo kauli tunayoweza kui… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE