January 10, 2015

Diamond-Davido-Number-One-Remix-4

Diamond na Davido wana beef? Hili ni swali ambalo watu wengi bado hawajapata jibu lake hasa baada ya wiki hii Davido kutweet maneno yaliyohisiwa kuwa yanamlenga Diamond.
Akizungumza kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, meneja wa Diamond, Babu Tale amesema Diamond na Davido sio washkaji ila wana mahusiano ya kibiashara tu.
“Hakuna vita mimi na menejimenti ya Davido, Tunaongea,” amesema Tale.
“Hapa ninaweza nikakuonesha meseji za mimi na Kamala ambaye ni meneja wa Davido. Nikinukuu maneno ya Kamala kwangu ile meseji ambayo Davido aliposti ya kwanza hakuwa anamface Diamond according to Kamala. Akaniambia mbona ‘watanzania wameelewa vibaya’ nikamwambia ‘tuliache hili limepita na limeshatokea hatuwezi kuwaambia bana Davido hajaongea hivi kwa maana hii, tutafute njia nyingine ambayo Davido anaweza akasehewa na Watanzania,” ameongeza Tale.
“Lakini sitaki kuamini kama Davido na Diamond wana vita. Juzi Davido alikuwa anaposti vitu vyake sio kwa sababu ya Diamond. Watanzania wote washaanza kusema ‘oooh Davido ashaanza kumtukana Diamond’. Nikwambie kitu kimoja Diamond hata baada ya kufanya ile video huwaga hawachati, Diamond akimtaka Davido ataniambia mimi au atamwambia Salam au Kamala.”

Related Posts:

  • Viongozi wakuu wa Uturuki wakutana na rais Trump   Ujumbe wa viongozi wa Uturuki wakutana na rais Donald Trump kwa muda mfupi Ujumbe wa viongozi wakuu wanaoongozwa na jenerali mkuu wa jeshi la Uturuki Hulusi Akar ulikutana na rais wa Marekani kwa muda mfupi Jumat… Read More
  • Waziri Mwakyembe awaasa wasanii kuacha kuimba Siasa   Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe amewaomba wasanii kuboresha vipaji vyao na kutojihusisha na siasa.  Waziri Mwakyembe aliyasema hayo Bungeni wakati akijibu hoja mbalimb… Read More
  • Mtoto Mussa Mhina azikwa Tanga Waombolezaji wakisindikiza mwili wa mwanafunzi Mussa Mhina (14) ambae ni mkazi wa Handeni aliyefariki juzi kwenye ajali ya gari wilayani Karatu mkoani Arusha,wananchi wengi wamejitokeza kwenye maziko hayo licha ya kuwe… Read More
  • Hawa ndiyo wasanii wanaoingiza pesa nyingi Afrika    Jarida la Forbes Africa la mwezi May 2017 limeandaa list ya wasanii 10 wanaoingiza pesa nyingi zaidi Africa. List hiyo ambayo inaongozwa na msanii wa Nigeria, Akon na nafasi ya pili ikichuku… Read More
  • Stella Nyanzi aachiwa kwa dhamana Mwanaharakati msomi nchini Uganda ambaye alikamatwa baada ya kumuita Rais Yoweri Museveni "jozi ya makalio", hatimaye amepewa dhamana. Msomi huyo na mwanaharakati maarufu wa haki za wanawake na wasichana aliwekwa rum… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE