April 11, 2015

Baada ya Zitto kutoa kauli kwa vyombo vya habari kuwa, kuna zaidi ya wabunge 50 kutoka vyama vya CCM na CHADEMA watakao hamia ACT, CHADEMA kupitia kitengo chake cha intelijensia kimetangaza upelelezi rasmi ili kuweza kuwavumbua wabunge hao wasaliti wa chama na mamluki wengine!

Aidha, maofisa hao katika kitengo hicho cha intelijensia cha CHADEMA wameeleza wazi kuwa wanaifanya kazi hiyo kwa usahihi na umakini mkubwa ili kuhakikisha taarifa watakazokusanya ni za kweli huku wakielezea mkakati wao wa kupenyeza watu wao ndani ya ACT kwa ajili ya taarifa zaidi!

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE