Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo magharibi mwa Nepal.
Shirika
la utafiti la Marekani lilisema kuwa tetemeko hilo la vipimo vya 7.5
lilikumba aneo liilo umbali wa kilomita nane mashariki mwa Pokhara,
magharini mwa mji mkuu Kathmandu.Kuna ripoti za uharibifu ya majengo. Idadi ya watu waliokufa au kujeruhiwa haijulikani. Mitetemeko midogo ilisikika pia umbali wa hadi mji wa New Delhi na miji mingine kusini mwa India.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment