Ikiwa tupo ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, dini ya kiislam wapo kwenye ibada ya Funga, mwanamuziki kutoka Tip Top Tunda mana ameachia Qaswida ikiwa ni sehemu ya kuwaasa waislam kumrejea ,ungu hasa kipindi hiki akiwaimiza kufunga swaumu ramadhani na kusimamisha swala.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment