October 13, 2015

Uzinduzi huo umefanyika kwenye kiwanda hicho kipya kilichopo eneo la Msijute, Mtwara Vijijini mkoa wa Mtwara na kuhudhuriwa na wafanyabiashara 170 kutoka Nigeria ambao wamehudhuria sherehe hiyo kama wageni wa Alhaj Dangote.
0L7C1680
Picha – Kiwanda cha Saruji Mtwara
Ujumbe wa Dangote Group umeongozwa na Mh. Mallam Nasir Ahmad El Rufai, Gavana wa Jimbo la Kaduna ambaye pia ameiwakilisha serikali ya Nigeria ambayo imekuwa inawaasa wafanyabiashara wake kusambaza uwekezaji wao katika Bara la Afrika na hasa katika nchi zenye utulivu wa uhakika kama Tanzania.
Kiwanda hicho kipya pia kinatarajia kuajiri watu 1500 katika ajira za moja kwa moja na watu 9000 watapata ajira zisizokuwa za moja kwa moja.
Kiwanda hicho kitazalisha tani za ujazo milioni tatu kwa mwaka kimegharimu dola za kimarekani milioni 600, ikiwa ni uwekezaji mkubwa zaidi kutoka nje kuingizwa katika uchumi wa Tanzania.

Related Posts:

  • NEW SONG// BAMBA- VENNT SKILLZ ft KENNI KENNIE  Hii ni ngoma mpya kabisa kutoka kwa mtayarishaji wa muziki mkoani Morogoro anayefanya vema kwa sasa katika anga ya muziki wa kizazi kipya ni Vennt Skillz wa kwanza Records hapa kamshirikisha mkali wa R $ B mkoani Mo… Read More
  • DIAMOND ULINZI MZITO UGANDA, AWEKEWA WAJEDA Mlinzi kutoka jeshi la Uganda Hawa askari tuliwaona wakati Diamond Platnumz amewasili Uganda na kupokelewa Airport kwa mbwembwe sana. Kumbe ulinzi wao uliendelea mpaka siku ya sho ambapo mmoja wao aliwekwa Nje y… Read More
  • VIDEO YA ALLY KIBA KUONESHWA KWENYE VITUO HIVI VIKBWA Video iliyosubiriwa kwa muda mrefu na mashabiki wa Ali Kiba ‘Mwana’imeanza kuonyeshwa ijumaa ya 19 Decemba 2014. Ali Kiba amethibitisha kuwa video imekamilika kwa kutoa kionjo cha video hio na kusema ‘Video imeta… Read More
  • WIMBO MPYA WA RAY C HUU HAPA    Ukiiskia sauti ya leo ya Ray c  huwezi kumtofautisha kabisa na Ray c yule wa kitambo, sauti ile ile na swaga zile zile. Hapa anakwambia Mshum  mshum. Huu niwimbo wake wa kwanza tangu aamue kurudi kat… Read More
  • TUONANE JANWARY SHOW KUFANYIKA MORO JUMAPILIKama upo Morogoro tukutane uwanja wa K/NDEGE shule ya Msingi  jumapili hii tutakuwa na @officiallinah @fidq @staminashorwebwenzi @Shilolekiuno @yamotoband @Nikiwapili  @Mwanafa na list nzima hiyo hapo. Utakosaje sas… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE