December 09, 2015

 Wafanya kazi wa Bank ya NM Morogoro matawi ya WAMI na Uluguru leo wamehadhimisha Sherehe za Uhuru wa Tanzania Bara kwa kutekeleza Amri ya Rais Magufuli kwa kufanya usafi katika kituo cha afya cha Mafiga mkoani Morogoro
  Katika mapeyake Meneja mwagilo ameomba zoezi hili liwe endelevu





 Wafanya kazi wa NMB wakiwa katika piya pamoja
 Meneja wa NMB Wami Joseph Mwagilo akisaini kitabu cha wageni
 Mganga mkuu wa Kituo cha afya Mafiga DR. Msuya akitoa neno la shukrani mbele ya wafanyakazi wa NMB

 Joseph Mwagilo Meneja wa NMB wami akitoa neno la shukrani kwa mapokezi waliyoyapata na ushirikiano kwa pamoja

 Bark Ofice Meneja wa NMB Wami Mr. Mchomvu akisaini kitabu cha wageni



 Watoto wa kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira Hatarishi kutoka chamwino nao walishiriki



 Baada ya kazi wafanya kazi wakipata picha

 Hapa kazi tu

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE