MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) leo amehukumiwa
adhabu ya kukaa nje miezi mitatu bila kujihusisha na kosa kama
alilolifanya la kumtukana aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul
Makonda ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mnamo Desemba 14, 2015 katika kiwanda cha TOOKU Garments Co. Ltd kilichopo Mabibo External jijini Dar, Mhe. Kubenea alimtolewa lugha chafu Mhe. Makonda.
Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar chini ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Thomas Simba.
Mnamo Desemba 14, 2015 katika kiwanda cha TOOKU Garments Co. Ltd kilichopo Mabibo External jijini Dar, Mhe. Kubenea alimtolewa lugha chafu Mhe. Makonda.
Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar chini ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Thomas Simba.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment