Yule aliyekuwa mchambuzik wa masuala ya kisiasa kipindi cha kampeni za uchaguzi mwaka 2015 Hamphrey Polepole ameteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Musoma mkoani Mara. Uteuzi huo umetangazwa leo na Rais John Magufuli
Kilio ACT ikipigania haki ya uchaguzi
-
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema safari ya kuitafuta haki ya uchaguzi
inaendelea. Lakini papohapo, kingependa kuona Mahkama
0 MAONI YAKO:
Post a Comment