Mwanamuziki wa Bongo Fleva toka mkoani Morogoro anayetamba sana kwa sasa na wimbo wake wa Angejua, Dayna Nyange mkali wao, ameizungunzia Video ya wimbo wake wa Angejua wimbo unaofanya vizuri sana kwa sasa, akifanya mahojiano na Bongo Beats ya Star TV, Dayna pia amezungumzia kuhusu Colabo yake na msanii toka mchini Uganda Cindy Sanyu na pia kufanya video zake katika studio za Kwetu Studio
BYABATO ATOA BIMA ZA AFYA KWA WANANCHI BUKOBA
-
Mbunge wa Jimbo la Bukoba Mjini Adv Stephen Byabato akitoa Bima ya afya ya
jamii iliyoboreshwa kwa baadhi ya wananchi wa kisiwa cha Musira
Na Mariam Kage...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment