Mwanamuziki wa Bongo Fleva toka mkoani Morogoro anayetamba sana kwa sasa na wimbo wake wa Angejua, Dayna Nyange mkali wao, ameizungunzia Video ya wimbo wake wa Angejua wimbo unaofanya vizuri sana kwa sasa, akifanya mahojiano na Bongo Beats ya Star TV, Dayna pia amezungumzia kuhusu Colabo yake na msanii toka mchini Uganda Cindy Sanyu na pia kufanya video zake katika studio za Kwetu Studio
Breaking : HAYA HAPA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2026,
UALIMU 2026
-
Bofya Kuona Matokeo
Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa
Kidato cha Sita 2026, yakionyesha ongezeko la ufaulu ...
2 days ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment