Akizungumza wakati anaonyesha ramani hiyo Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani, Justo Lyamuya alisema kuwa wameamua kutoa ramani sahihi ili kuondoa upotoshaji uliopo mitaani.
Suala kubwa linalopotoshwa ni Ziwa Nyasa ambapo kwenye ramani za mitaani linaonekana lote lipo Malawi kitu ambacho sio sahihi hata kidogo.

Ramani sahihi ya Tanzania.
Aidha alisema kuwa kutumia ramania ambayo
isiyo sahihi kwa kujua au kutokujua ni kosa kisheria. Amewataka walimu
na wote walioko katika nafasi ya kuelimisha jamii kutumia ramani hii.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment