July 08, 2016

July 7,2016 mwimbaji staa wa bongofleva toka mkoani Morogoro Belle 9 alitumia time yake kwenye stage usiku wa EID Pili baada ya kuwakutanisha mastaa wa Bongofleva kwenye jukwaa moja uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Show hiyo ilipewa jina la BMS TOUR ilisindikizwa na wakali wengine bongoflevani akiwemo Izzo Bizness, Dayna Nyange, Afande Sele, Jay Moe, Mo Music, Stamina Shilole, Darassa na Professor Jya.

Host wa show nzima alikuwa ni Mtangazaji mahili wa kipindi cha XXL cha Clouds Fm Hamis Mandi B. Dozen


.
Dayna Nyange

.
.
.
.
.
Izzo Bizness

.
Afande Sele, Belle 9 na Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule aka Profesa Jay

.
.
.
Profesa Jay

.
.
.
Belle 9

.
.
 

Picha kwa hisani ya Millardayo.com

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE