July 02, 2016

nancy (2)
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Baada ya miaka mingi ya uhusiano thabiti na uliokuwa umetawaliwa na upendo usio kifani, Mwenyekiti Mtendaji wa Bongo5 Media Group Limited, Luca Neghesti na Miss Tanzania 2005 na Miss World Africa, Nancy Sumari wamefunga ndoa .

 Luca na Nancy ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Bongo5 wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike aitwaye Zuri.

 Wawili hao wamefunga ndoa Ijumaa iliyopita jijini Arusha na kuhudhuriwa na watu takriban 60 ambao wengi wao ni ndugu na marafiki zao wa karibu. Tunawapongeza kwa hatua hiyo kubwa kwenye maisha yao. Tazama picha zaidi hapo chini.
 

nancy (3)

nancy (1)

nancy (4) 

nancy (5) 
 4K0A9071 
Luca akisaini cheti cha ndoa

 Nancy akisaini cheti cha ndoa 
Nancy akisaini cheti cha ndoa

Ndugu na jamaa akishuhudia tukio 
 Ndugu na jamaa wakishuhudia tukio

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE