July 24, 2016

Ki ukweli kabisa, ukizungumzia makundi ya mziki wa Hip Hop hapa Tanzania lazima hutaacha kulitaja hili kundi la Hip Hop toka Jijini Arusha linaloitwa Watengwa. Sasa hii leo mtengwa Chindo Man ametuletea wimbo wake unaitwa Toratyi ya mtaa

Humu ndani kuna vichwa kama Fid Q, Wakazi, Dully Sykes

                      

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE