September 11, 2016

Ilikuwa ni Usiku wa September 09 kuamkia September 10 wakazi wa Tabora ilikuwa zamu yao ya ku enjoy na Tamasha la Tigo Fiesta 2016 lenye kaulimbiu ya #Imooo!!! .

Burudani kabambe iliyodondoshwa kutoka kwa,Nuh Mziwanda, Darassa, Maua Samma, Snura, Blue,Nikki wa Pili ,Chege na wasanii wengine kibao, iliwafanya wakazi wa Tabora kusuuzika kabisa na nafsi zao.Namfua Singada Singidani leo zamu yenu sasa. Naamini mtawafunika wanyamwezi wa Tabora. Jipatie tiketi yako mapema sana

 
dsc_8828-1 

  
Mamaa Majanga alikiwasha ileile

 
 Hakujali kwamba hapa ni ukweni, alisema hivi nipo kazini. Nuh Mziwanda akifanya balaa lake jukwaani

 Kutoka 20 za Town ya Clouds TV anaitwa  NicksonGeogre

dsc_8770 

dsc_8947
Maua Sama

dsc_9079
Jux



       dsc_9390
Joh Makini

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE