September 10, 2016

 

Assalam Alaykum: Baraza kuu la waislam Tanzania BAKWATA  linawatangazia Waislam wote kuwa swala ya Eid itaswaliwa BAKWATA makao makuu Kinondoni Muslim Jijini Dar Es Salaam

Swala hiyo itaambatana na Baraza la Eid  huku ikifuatiwa na uzinduzi wa Chuo cha Kiislam cha Daarul - Maarif

Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg. Kassim Majaliwa

Swala itaswaliwa  7:30 asubuhi Inshaallah

Wabillah Taufiq

Salim A. Abeid

kny: Katibu mkuu

 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE