Diamond platnumz amesema hakuna ugomvi ndani ya familia yao kati ya mama
yake, dada yake na Zari ila mashabiki ndio wanaokuza kwa kuwa wana IQ
ndogo ya kutafsiri kinachopostiwa mtandaoni na watu hao...
Kuhusu kuwa na mahusiano na wasichana wengine amedi kuwa watu wanadi
hivyo kwa kuwa kila wakimuona na msichana mzuri wanafikiri anapiga kwa
kuwa wao wana mazoea ya kupiga kila msichana mzuri..
Waalimu sasa kutumia silaha kujilinda
Hatari ya mashambulizi ya mara kwa
mara nchini Pakistani imefanya jamii ya nchini humo kuchukua hatua
ambazo zimeonekana si za kawaida.
Kaskazini magharibi mwa
Pakistani, Polisi wanatoa mafunzo ya namna ya kutumi…Read More
Jordan yaapa kuimaliza IS kwa kila hali
Jordan imesema mashambulizi ya anga
dhidi ya Wanamgambo wa Islamic State ni mwanzo tu wa kulipa kisasi kwa
tukio la kumteka nyara Rubani wa nchini humo, Waziri wa mambo ya nje wa
Jordan,Nasser Judeh ameeleza.
Jud…Read More
Kutana na hii mpya kabisa kuhusu Smartphone
Timu ya watafiti kutoka chuo cha Culumbia Univesity kimebaini simu za kisasa za smartphone zinaweza kupima kwa haraka na urahisi virusi vya Ukimwi na magonjwa wa zinaa.
Kwa kutumia programu mpya itakayowekwa …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment