Waandaji
wa Tamasha la Fiesta wametangaza kuwadondosha wakali wa muziki kutoka
Naija na Uganda, Yemi Alade, Tekno Na Jose Chameleone kwenye kilele cha
tamsha hilo.
Wakali hao watatumbuiza viwanja vya Leaders, Tarehe 5 Nov pamoja na wasanii wengine wa nyumbani ikiwemo
Alikiba, Jux, Braka da Prince, Shilole, Belle 9, Young Dee, Ray Vanny, Mr Blu, Man Fongo ,Mau Samma, Darassa, Nandy,J.moe na wengine.
PICHA ZINGNE ZA SHOW YA DIAMOND RWANDA
Diamond Platnumz akifanya yake.
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa amebebwa na wacheza shoo wake siku ya mwaka mpya Kigali, Rwanda.
Nyomi ya kufa mt…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment