Waandaji
wa Tamasha la Fiesta wametangaza kuwadondosha wakali wa muziki kutoka
Naija na Uganda, Yemi Alade, Tekno Na Jose Chameleone kwenye kilele cha
tamsha hilo.
Wakali hao watatumbuiza viwanja vya Leaders, Tarehe 5 Nov pamoja na wasanii wengine wa nyumbani ikiwemo
Alikiba, Jux, Braka da Prince, Shilole, Belle 9, Young Dee, Ray Vanny, Mr Blu, Man Fongo ,Mau Samma, Darassa, Nandy,J.moe na wengine.
Mazungumzo juu ya kuunda serikali Ujerumani yakamilika
Viongozi wa vyama ndugu vya CDU/CSU na chama cha SPD wamekamilisha
mkutano wao mjini Berlin wa kuangalia uwezekano wa kuanzisha mazungumzo
juu ya kuunda serikali ya mseto miezi mitatu baada ya kufanyika uchaguzi
…Read More
Khutba ya Ijumaa na Shekh Nurdin Kishki, Ulimi
Assalam Alaykum walahmatullah taala wabarakatu. Karibuni katika Njia sahihi ya Mwenyezi Mung. Hakika leo ikiwa ni siku ya Ijumaa, siku tukufu kwabisa kwa waislam. Tunawaletea Khutuba ya Ijumaa kutoka kwe Shekh Nurd…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment