Waandaji
wa Tamasha la Fiesta wametangaza kuwadondosha wakali wa muziki kutoka
Naija na Uganda, Yemi Alade, Tekno Na Jose Chameleone kwenye kilele cha
tamsha hilo.
Wakali hao watatumbuiza viwanja vya Leaders, Tarehe 5 Nov pamoja na wasanii wengine wa nyumbani ikiwemo
Alikiba, Jux, Braka da Prince, Shilole, Belle 9, Young Dee, Ray Vanny, Mr Blu, Man Fongo ,Mau Samma, Darassa, Nandy,J.moe na wengine.
Sherehe za miaka 100 zafanyika Gallipoli
Sanamu za makumbusho Gallipoli
Sherehe zimefanyika eneo la
Gallipoli nchini Uturuki kuadhimisha miaka mia moja tangu uvamizi wa
kijeshi uliofanywa eno hilo na wanajeshi wa muungano wa…Read More
Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Nepal
Tetemeko kubwa la ardhi limekumba eneo lililo magharibi mwa Nepal.
Shirika
la utafiti la Marekani lilisema kuwa tetemeko hilo la vipimo vya 7.5
lilikumba aneo liilo umbali wa kilomita nane mashariki mwa Pokhara, …Read More
Bunge la Afrika Kusini kusimama kupinga ubaguzi
Bunge la Afrika Kusini litasimamisha shughuli zake wiki ijayo kwa ajili
ya kuendesha mapambano ya kupinga ukatili dhidi ya wageni nchini humo.
Ripoti iliyotolewa jana na bunge hilo imesema kuwa, wiki ijayo bunge
…Read More
Mini Power Roulette ni ushindi
-
Ukiwa na buku tu Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuongezea mara dufu
Zaidi, kupitia sloti...
The post Mini Power Roulette ni ushindi first appeared ...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment