Waandaji
wa Tamasha la Fiesta wametangaza kuwadondosha wakali wa muziki kutoka
Naija na Uganda, Yemi Alade, Tekno Na Jose Chameleone kwenye kilele cha
tamsha hilo.
Wakali hao watatumbuiza viwanja vya Leaders, Tarehe 5 Nov pamoja na wasanii wengine wa nyumbani ikiwemo
Alikiba, Jux, Braka da Prince, Shilole, Belle 9, Young Dee, Ray Vanny, Mr Blu, Man Fongo ,Mau Samma, Darassa, Nandy,J.moe na wengine.
Basi la JM Luxury Lapata Ajali na Kuua Watu Wanne
WATU wanne wamekufa huku sita
wakijeruhiwa katika ajali ya basi, lililogonga lori katika eneo la
njiapanda ya Kolandoto mkoani Mwanza.
Ajali hiyo ilihusisha basi la Kampuni ya
JM Luxury kuligonga lori aina TAT…Read More
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya 12 Septemba
Karibu mpenzi msomaji katika kurasa za magazetini leo hii. Ikiwa leo ni Jumatatu ya 12 September 2016, waislamu wote duniani wanasherehekea sikukuu ya Eid el Haji. Tuungane pamoja katika kusherehekea siku hii tukufu kwa a…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment