Waandaji
wa Tamasha la Fiesta wametangaza kuwadondosha wakali wa muziki kutoka
Naija na Uganda, Yemi Alade, Tekno Na Jose Chameleone kwenye kilele cha
tamsha hilo.
Wakali hao watatumbuiza viwanja vya Leaders, Tarehe 5 Nov pamoja na wasanii wengine wa nyumbani ikiwemo
Alikiba, Jux, Braka da Prince, Shilole, Belle 9, Young Dee, Ray Vanny, Mr Blu, Man Fongo ,Mau Samma, Darassa, Nandy,J.moe na wengine.
Mbwana Samata aingia mkataba rasmi na Fc Genk, apewa namba 77
kauli ya Mbwana hii hapa chini
Leo nimeingia mkataba rasmi na Club yangu mpya ya FC Genk, mkataba wa miaka minne kucheza katika Ligi kuu ya Ubelgiji. Kama mnavyojua Ubelgiji ndio imekuwa chanzo kikubwa cha wache…Read More
Umeipata hii ya jeshi kupambana na kunguni!!!!!
Wanajeshi wa Uganda watakwenda kila nyumba kunyunyiza dawa ya kuangamiza kunguni ikiwa ni miongoni mwa shughuli zao za kijamii wakati wa kuadhimisha wiki ya jeshi.
Kulingana na gazeti la the New Vision, wadudu h…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment