Waandaji
wa Tamasha la Fiesta wametangaza kuwadondosha wakali wa muziki kutoka
Naija na Uganda, Yemi Alade, Tekno Na Jose Chameleone kwenye kilele cha
tamsha hilo.
Wakali hao watatumbuiza viwanja vya Leaders, Tarehe 5 Nov pamoja na wasanii wengine wa nyumbani ikiwemo
Alikiba, Jux, Braka da Prince, Shilole, Belle 9, Young Dee, Ray Vanny, Mr Blu, Man Fongo ,Mau Samma, Darassa, Nandy,J.moe na wengine.
VICENT KIGOSI( Ray the greatest) " KUJA NA SISTER MARRY
Baaada ya sinema ya Woman of Principels kufanya
vizuri sokoni sasa ni wakati wa sinema bora kuingia mtaani jina ni
Sister Marry ni sinemma yenye story ya kipekee sana kama kawaida ya
kampuni yako RJ Company kufanya k…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment