Waandaji
wa Tamasha la Fiesta wametangaza kuwadondosha wakali wa muziki kutoka
Naija na Uganda, Yemi Alade, Tekno Na Jose Chameleone kwenye kilele cha
tamsha hilo.
Wakali hao watatumbuiza viwanja vya Leaders, Tarehe 5 Nov pamoja na wasanii wengine wa nyumbani ikiwemo
Alikiba, Jux, Braka da Prince, Shilole, Belle 9, Young Dee, Ray Vanny, Mr Blu, Man Fongo ,Mau Samma, Darassa, Nandy,J.moe na wengine.
Mauaji: Mkuu wa upelelezi auawa kwa risasi
Watu watatu wameuawa katika tukio la kiuhalifu akiwamo mkuu wa upelelezi wilaya kibiti mkoani Pwani
Tukio hilo lilitokea jana saa moja usiku katika kizuizi cha kutoza ushuru w…Read More
Tigo Tanzania yakanusha Manji kuhusika na kampuni hiyo
Yusuph Manji
Kampuni ya Simu za mkononi nchini Tanzania Tigo, imekanusha taarifa zilizosambazwa kwamba eti Mfanya Biashara Yusuph Manji ana hisa katika kampuni hiyo. Kupitia ukurasa wa Facebook Tigo Tanzania, wam…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment