November 30, 2016

Kipa wa Medeama, Daniel Agyei ametua nchini tayari kumalizana na Simba.

Kipa wa Medeama, Daniel Agyei ametua nchini tayari kumalizana na Simba.
Lakini kwa hali inavyoonekana, huenda Simba imeishamaliza kila kitu kwa kuwa Agyei amekuja nchini na rundo la mabegi.

Mabegi ya Agyei, inaonyesha ni mtu aliyekuja kazini na hana mpango wa kurudi kwao keshi, labda baada ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara kwisha.

Related Posts:

  • NMB Bank yazindua kituo cha biashara Kahama       Benki ya NMB Tanzania imezindua rasmi kituo cha biashara mjini Kahama (Kahama Business Centre) ambacho kitakuwa kikitoa huduma kwa wananchi wa kanda ya ziwa ikijumuisha mikoa mitatu ya Shinyanga, … Read More
  • Diamond anakukaribisha katika uzinduzi wa Perfume yake    Lile tukio kubwa lililokuwa likisubiliwa kwa hamu kubwa sana juu ya mwanamuziki Diamond kuzindua Perfume yake litafanyika kesho . zaidi soma hapa alichokiandika Diamond   Tomorrow will be officially l… Read More
  • New Video: P-Square - Nobody   Kutoka nchini Nigeria P-Square wametuletea video mpya kabisa inaitwa, Nobody. Video ipo hapa chini waweza kuitazama na kudownload sasa kupitia Youtube.          &nbs… Read More
  • Mwizi wa simu anaswa kwa kutumia App   Mshukiwa wa wizi ambaye inaaminika alikuwa ameiba zaidi ya simu 100 aina ya iPhones amekamatwa nchini Marekani. Mwizi huyo alikamatwa baada ya watu waliokuwa wameibiwa simu zao kutumia programu tumishi ya Find My … Read More
  • Rasmi,bDiamond Azindua Perfume yake ya Chibu Diamond Platnumz leo mchana amezindua rasmi perfume yake ya Chibu Perfume, hatua ambayo ni ya kihistoria. Perfume hiyo yenye asili kutokea Dubai itauzwa kiasi cha Tsh 105,000. Diamond alisema “Inaaminika kuwa Dubai ndi… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE