January 17, 2017

Image result for magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo hii 17 January 2017 amemteua Mh. Jaji Prof. Ibrahim Juma kuwa kaimu jaji mkuu wa Tanzania 

Mh. Jaji Prof. Ibrahim anachukua nafasi ya Jaji Mohamed Othman Chande aliyestaafu


Image may contain: text

Related Posts:

  • Live Match : Barcelona VS Osasuna   Ligi Kuu nchini Ispania inaendelea tena muda huu ambayo inawakutanisha Barcelona wanapambana dhidi ya  Osasuna. Fwatilia hapa uapate kujua matokeo ya mchezo huo.        … Read More
  • Live Match: Arsenal VS Leicester City   Fwatilia hapa mpambano wa kukata na shoka wa ligi kuu Uingereza unaowakutanisha mabingwa wa ligi hiyo  Leicester City dhidi ya Arsenal FC. Mpambano wa leo Arsenal wanawakaribisha Leicester   &nbs… Read More
  • Chibu Perfume sasa inapatikana Marekani   Diamond Platnum mwanamuziki kutoka Afrika Mashariki nchini Tanzania, ameonekana kuanza vema huku akiwa na uchu wa mafanikio katika bidhaa yake mpya aliyoiingiza sokoni wiki hii ya manukato. Kwa sasa Chibu Perfume … Read More
  • Video: Diamond ndani ya XXL ya Clouds Fm, aizungumzia Perfume yake   Tumekuletea Interview ya Diamond Platnum aliyoifanya ndani ya kipindi cha XXL cha Clouds Fm kubwa zaidi kaizungumzia Perfume yake iliyoingia sokoni hivi karibuni. fwatilia hapa interview nzima hapa  &… Read More
  • Alikiba kuhamia London   Msanii wa Bongo Fleva Ali Kiba  ambae anafanya vizuri kwa sasa kupitia wimbo wake wa Aje amepata nafasi ya kushiriki katika tamasha kubwa la mitindo huko london Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ali Kiba am… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE