Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo hii 17 January 2017 amemteua Mh. Jaji Prof. Ibrahim Juma kuwa kaimu jaji mkuu wa Tanzania
Mh. Jaji Prof. Ibrahim anachukua nafasi ya Jaji Mohamed Othman Chande aliyestaafu
Audio: Mash J - Nakopesha
Mash J, Kutoka Morogoro, amekuja na wimbo wake huu mpya unaitwa nakopesjha. Wimbo umefanywa na producer Vennt Skilz katika studio za Kwanza Record za mjini Morogoro
…Read More
Simba yamuadhibu Hassan Isihaka
KAMATI ya
Utendaji ya Klabu ya Simba imemsimamisha nahodha wake msaidizi Hassan
Isihaka kuichezea klabu ya Simba kwa muda usiojulikana.
Hatua hiyo imefikiwa
baada ya beki huyo kumtolea maneno yasiyo na staha k…Read More
Watu milioni 3 hawana chakula
Inakadiriwa kuwa watu milioni tatu
nchini Zimbabwe wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame uliosababisha
mifugo elfu 20,000 kufa.
Takriban wanyama 20,000 wamekufa, huku idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka maradu…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment