Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo hii 17 January 2017 amemteua Mh. Jaji Prof. Ibrahim Juma kuwa kaimu jaji mkuu wa Tanzania
Mh. Jaji Prof. Ibrahim anachukua nafasi ya Jaji Mohamed Othman Chande aliyestaafu
Live Match : Barcelona VS Osasuna
Ligi Kuu nchini Ispania inaendelea tena muda huu ambayo inawakutanisha Barcelona wanapambana dhidi ya Osasuna. Fwatilia hapa uapate kujua matokeo ya mchezo huo.
…Read More
Live Match: Arsenal VS Leicester City
Fwatilia hapa mpambano wa kukata na shoka wa ligi kuu Uingereza unaowakutanisha mabingwa wa ligi hiyo Leicester City dhidi ya Arsenal FC. Mpambano wa leo Arsenal wanawakaribisha Leicester
&nbs…Read More
Chibu Perfume sasa inapatikana Marekani
Diamond Platnum mwanamuziki kutoka Afrika Mashariki nchini Tanzania, ameonekana kuanza vema huku akiwa na uchu wa mafanikio katika bidhaa yake mpya aliyoiingiza sokoni wiki hii ya manukato. Kwa sasa Chibu Perfume …Read More
Alikiba kuhamia London
Msanii wa Bongo Fleva Ali Kiba ambae anafanya
vizuri kwa sasa kupitia wimbo wake wa Aje amepata nafasi ya kushiriki
katika tamasha kubwa la mitindo huko london
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ali Kiba am…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment