Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo hii 17 January 2017 amemteua Mh. Jaji Prof. Ibrahim Juma kuwa kaimu jaji mkuu wa Tanzania
Mh. Jaji Prof. Ibrahim anachukua nafasi ya Jaji Mohamed Othman Chande aliyestaafu
Stella Nyanzi aachiwa kwa dhamana
Mwanaharakati msomi nchini Uganda ambaye alikamatwa baada ya kumuita
Rais Yoweri Museveni "jozi ya makalio", hatimaye amepewa dhamana.
Msomi huyo na mwanaharakati maarufu wa haki za wanawake na wasichana
aliwekwa rum…Read More
List ya wana Hip Hop 5 wenye mkwanja mrefu duniani ni hii
Jarida maarufu la Forbe la nchini Marekani, leo hii limetoa Orodha ya wasanii watano wa Hip Hop wenye pesa nyingi kuliko wengine. Kwa mujibu wa jaridia hilo hii ndiyo Orodha iliyotajwa, unajua ni kina…Read More
Video: Ziara ya Maalim Seif Hamad kwa Askofu Gwajima
Katibu mkuu wa chama cha Wananchi CUF MaalimSeif Sharif Hamad, amefanya ziara ya kumtembelea Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima DR. Bishop Josephat Gwajima na hii ni sehemu ya taarifa baada ya mazungumzo y…Read More
Waziri Mwakyembe awaasa wasanii kuacha kuimba Siasa
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe amewaomba wasanii kuboresha vipaji vyao na kutojihusisha na siasa.
Waziri Mwakyembe aliyasema hayo Bungeni wakati akijibu hoja mbalimb…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment