Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo hii 17 January 2017 amemteua Mh. Jaji Prof. Ibrahim Juma kuwa kaimu jaji mkuu wa Tanzania
Mh. Jaji Prof. Ibrahim anachukua nafasi ya Jaji Mohamed Othman Chande aliyestaafu
New Audio:King Kanja-Cathy
Msanii
wa Kenya mwenye vipaji vingi, KING KANJA ameachia wimbo mpya CATHY
akimshirikisha Ava Lov na Big T. Wimbo huu unakuja baada ya kuonesha
uwezo wake kwenye tamasha la 2016 SXSX …Read More
Habari za magazetini leo hii Ujumaa kuu ya March 25
Karibu katika habari za magazeti leo hii March 25 2016, huku tukiadhimisha Ijumaa kuu ambayo kwa wakristu tunaaminio ndiyo siku aliyoteswa mwana wa Adam Yesu Kristo. Tumekukusanyia magazeti ya leo na kukusogezea hap…Read More
Zari adaiwa kumpa makavu Kajala
Stori: WAANDISHIWETU Ijumaa
Kufuatia madai kuwa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja
amekuwa na katabia ka’ kujiweka kimahaba kwa Nasibu Abdul ‘Diamond’
wakati Zarinah Hassan ‘Zari’ akiwa Sauzi, …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment