Habari za leo mpenzi msomaji wa ubalozini, Karibu katika kurasa za magazetini leo hii june 11 mwaka 2017. Tumekukusanyia baadhi ya kurasa zilizobeba uzito katika baadhi ya Magazeti ya nchini Tanzania
SMZ KUILINDA AMANI KWA GHARAMA ZOTE
-
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesisitiza msimamo wake wa
kuendelea kuilinda amani na utulivu wa visiwa hivyo kwa gharama zote, huku
ikiwatahad...
Kilio ACT ikipigania haki ya uchaguzi
-
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema safari ya kuitafuta haki ya uchaguzi
inaendelea. Lakini papohapo, kingependa kuona Mahkama
0 MAONI YAKO:
Post a Comment